ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Leo nimepata kazi Kama utani nilienda kunywa pombe kwenye grocery fulani mtaani jamaa mwenye grocery Ni mwanajeshi mstaafu alikuwa na yeye amelewa akasema haiwezekani grocery ikose chips tunafanyaje me nikaropoka boss me nipo kijana wako kwanini uteseke akasema Safi Sana subiri nikachukue hela ukanunue viazi na nyama kwa ajili ya mishikaki.
Kazi umeshapata nimefurahi kinoma hasa kwenye mishikaki hapo nitajiongeza mpaka nitoke shavu asee hajaniambia shingapi atanilipa ila kikubwa jueni tu kazi nimepata baada ya kukaa kitaa kwa kuunga unga Sasa hv nta enjoy halafu mazingira ya kazi mazuri maana nikifika tu asubuhi natoa Kwanza wenge na kinusu.
Kazi umeshapata nimefurahi kinoma hasa kwenye mishikaki hapo nitajiongeza mpaka nitoke shavu asee hajaniambia shingapi atanilipa ila kikubwa jueni tu kazi nimepata baada ya kukaa kitaa kwa kuunga unga Sasa hv nta enjoy halafu mazingira ya kazi mazuri maana nikifika tu asubuhi natoa Kwanza wenge na kinusu.