Seth saint
JF-Expert Member
- Oct 27, 2020
- 1,115
- 2,464
Shida ndio hii sasa biblia mnasoma kipande kidogo alafu akili mnaweka pembeni.Hivi Mungu unamjua au unanletea habari za ulokole hapa.Sikia ni kwambie sio mtume au nabii au Yesu kipindi chake duniani alimuona Mungu.Nakwambia hivi sio kwa hisia bali ulijue kuanzia leo.Nakama tunapangwa madaraja kwa viumbe wote chini ya jua basi jua mimi nipo juu ya kiumbe yoyote yule ndio maana nikieleza jambo sihitaji kurejea kifungu cha biblia maana nachojua hakuna namna utaweza elewa kama jambo jepesi hivi umekosa jibu.Wameandika wapi ? kwamba hakuna aliyemuona Mungu.
Hizi ni pumba zako binafsi
there is the eye of the spirit
"the eye of the spirit"(ndio nini hiki?) najua unasema jicho la kiroho sio?.Jicho la kiroho(kama walokole wasemavyo) si jambo jepesi ndugu.Spiritual awareness sio suala la kuamka tu ukawa nalo(only the chosen one has this blessing.Je,wewe ni miongoni mwao?.Jibu ni hapana)