Mungu ndiye shetani(?)

Mungu ndiye shetani(?)

February Makamba

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2020
Posts
2,151
Reaction score
2,983
Ukisoma kwa umakini biblia Mwanzo mpaka ufunuo utaelewa kuwa kitabu kimebadilisha wahusika, Sehtani ameitwa Mungu na Mungu ameitwa shetani.

Mungu wa kwenye biblia anaelezewa kuwa Mungu mwenye wivu anayechukia kuona unamsifu au kumfuata mungu mwingine, Anataka wewe tokea unaamka hadi unalala uwe unamuwaza yeye tu na kufanya kila kitu anachotaka yeye, wakati biblia haijaonesha kama Shetani ana wivu au anataka watu wafuate itikadi zake lasivyo atakasirika.

Kutokana na huu wivu, Mungu wa kwenye biblia ukihesabu ameua wanaume takribani millioni na ushee; 2, 345, 439 (Hapa hatujahesabu wanawake na watoto). Ukiconsider na source za nje ya biblia idadi inafika mpaka 22, 743, 746.

Watu alioua mungu ni wengi, kama wale vijana 42 aliowaua kwasababu walimtania Elisha kuwa ana upaa... Watu 147, 000 aliowaua kwasababu walitaka demokrasia maana walichoka kupelekeshwa na Mussa n.k.

Lakini Shetani wa kwenye biblia ameua watu 10 tu, tena hao 10 aliwaua kwasababu alishinikizwa na Mungu, Mungu alimbinya vidole shetani awaue wale watoto wa Ayubu.

Na muda huo huo, Mungu anasema atakuja siku ya mwisho kuchukua watu wake wachache tu na Kuwachoma kwa moto mkali wengine wote ambao hawakumsikiliza mchana na usiku.

Nani ni shetani apo? Na nani ni Mungu?
 
Ukisoma kwa umakini biblia Mwanzo mpaka ufunuo utaelewa kuwa kitabu kimebadilisha wahusika, Sehtani ameitwa Mungu na Mungu ameitwa shetani.

Mungu wa kwenye biblia anaelezewa kuwa Mungu mwenye wivu anayechukia kuona unamsifu au kumfuata mungu mwingine, Anataka wewe tokea unaamka hadi unalala uwe unamuwaza yeye tu na kufanya kila kitu anachotaka yeye...wakati biblia haijaonesha kama Shetani ana wivu au anataka watu wafuate itikadi zake lasivyo atakasirika.

Kutokana na huu wivu, Mungu wa kwenye biblia ukihesabu ameua wanaume takribani millioni na ushee.....2, 345, 439 (Hapa hatujahesabu wanawake na watoto)
Ukiconsider na source za nje ya biblia idadi inafika mpaka 22, 743, 746

Watu alioua mungu ni wengi, kama wale vijana 42 aliowaua kwasababu walimtania Elisha kuwa ana upaa...
Watu 147, 000 aliowaua kwasababu walitaka demokrasia maana walichoka kupelekeshwa na Mussa
Nk. Nk.

Lakini Shetani wa kwenye biblia ameua watu 10 tu, tena hao 10 aliwaua kwasababu alishinikizwa na Mungu...Mungu alimbinya vidole shetani awaue wale watoto wa Ayubu.

Na muda huo huo, Mungu anasema atakuja siku ya mwisho kuchukua watu wake wachache tu na Kuwachoma kwa moto mkali wengine wote ambao hawakumsikiliza mchana na usiku.

Nani ni shetani apo? Na nani ni Mungu?
Uwe Mkristo jua kwamba kuna hukumu, uwe Muislamu kuna kihama! Asante.
 
Una bahati unamkufuru Mungu mwenye nguvu, anayeweza kujitetea na mwingi wa rehema.
Ungekuwa ndiyo wale wenye dini ya Kiarabu sasa hivi ungekuwa kwenye mahakama ya kadhi au wamekuchinja kichwa.
Karibu kanisani, ujifunze zaidi. Vita vyetu ni vya kiroho na si vya damu na nyama.
 
Ukisoma kwa umakini biblia Mwanzo mpaka ufunuo utaelewa kuwa kitabu kimebadilisha wahusika, Sehtani ameitwa Mungu na Mungu ameitwa shetani.

Mungu wa kwenye biblia anaelezewa kuwa Mungu mwenye wivu anayechukia kuona unamsifu au kumfuata mungu mwingine, Anataka wewe tokea unaamka hadi unalala uwe unamuwaza yeye tu na kufanya kila kitu anachotaka yeye...wakati biblia haijaonesha kama Shetani ana wivu au anataka watu wafuate itikadi zake lasivyo atakasirika.

Kutokana na huu wivu, Mungu wa kwenye biblia ukihesabu ameua wanaume takribani millioni na ushee.....2, 345, 439 (Hapa hatujahesabu wanawake na watoto)
Ukiconsider na source za nje ya biblia idadi inafika mpaka 22, 743, 746

Watu alioua mungu ni wengi, kama wale vijana 42 aliowaua kwasababu walimtania Elisha kuwa ana upaa...
Watu 147, 000 aliowaua kwasababu walitaka demokrasia maana walichoka kupelekeshwa na Mussa
Nk. Nk.

Lakini Shetani wa kwenye biblia ameua watu 10 tu, tena hao 10 aliwaua kwasababu alishinikizwa na Mungu...Mungu alimbinya vidole shetani awaue wale watoto wa Ayubu.

Na muda huo huo, Mungu anasema atakuja siku ya mwisho kuchukua watu wake wachache tu na Kuwachoma kwa moto mkali wengine wote ambao hawakumsikiliza mchana na usiku.

Nani ni shetani apo? Na nani ni Mungu?
Mkuu
Dah doh

Amani iwe kwako
 
Maana yeye anafahamu kwamba fulani ata uruke ruke vipi utaishia kufa katika uzinzi au ujambazi sasa kwa nini tena iwe anakuandalia adhabu wakati alijua huwezi mtii.

Iweje akulete duniani kuja kuhitimisha safari ya uhai wa watu wengi.

Tunaomba Mungu tujaailie tuwe na safari njema. Ila baada ya km 230 tunaanguka tunatoa sababu shetani kaingilia kati ya safari yetu. Inaleta maswali
 
Hivi mfano wewe umeamua kufuga kuku Kisha siku moja ukaamua kuwachinja kuku wote uwale supu na nyama nyingine ugawe,hapo kuna dhambi au kuna lawama kuchinja Mali yako?

Sasa Mungu akiamua kuua watu wake aliowaumba mwenyewe wewe unakerekwa na nini? Akiamua siku moja kuijaza maji dunia ili wahuni wafe Kisha wengine wabaki kwenye safina si maamuzi ya kwake? Usimpangie Mungu Cha kufanya mzee baba.
 
Maana yeye anafahamu kwamba fulani ata uruke ruke vipi utaishia kufa katika uzinzi au ujambazi sasa kwa nini tena iwe anakuandalia adhabu wakati alijua huwezi mtii.

Iweje akulete duniani kuja kuhitimisha safari ya uhai wa watu wengi.

Tunaomba Mungu tujaailie tuwe na safari njema. Ila baada ya km 230 tunaanguka tunatoa sababu shetani kaingilia kati ya safari yetu. Inaleta maswali
Tukusaidie nn
 
Mkuu

Pole sana!

Najua unaenda Mbali sana, WENGI watakutisha Sana Lakini hata Mambo yanaleta SHIDA Sana kifikra ukitafakari KWA kina!

Mf:-

MUNGU akamuumba malaika Mkuu,huyo Malaika Mkuu akafanya suprise akaasi KWA kiburi ambacho hatujui nani alimpa hicho kiburi coz hakukuwa na shetani mwingine KIPINDI hicho,Sasa huyu shetani anawadanganya watu waasi ILI wake wachomwe moto na MUNGU milele!

Mkanganyiko mikubwa Sana KWA mwenye akili timamu!!

ACHA tujilazimishe kuwa wajinga I'll tusitende hio iitwayo dhambi!!
 
Does God create evil?
by Matt Slick | Dec 1, 2008 | Bible Difficulties, Isaiah - Malachi, The Bible
Does God create evil? Isaiah 45:7 and Amos 3:6. No, God does not create ontological evil. He creates calamity which is sometimes translated as ‘evil.’
  • Isaiah 45:7, KJV, “I form the light, and create darkness: I make peace, and create evil: I the LORD do all these things.”
  • Amos 3:6, “Shall a trumpet be blown in the city, and the people not be afraid? shall there be evil in a city, and the LORD hath not done it?”
 
The Jewish View of Satan
JEWS FOR JUDAISM

What is the Jewish view of Satan? Was he a fallen angel? Let us find out in this post.
Christian View
In Christian belief, Satan is a fallen angel that has freedom of choice and rebels against God. Christians conveniently use the “Satan, to explain any evil or irrational behavior (such as non belief in Jesus as messiah or god). The New Testament is fertile ground for this outlook. It is only here that Satan becomes a wicked, rebellious angel, which quite likely evolved the character called Satan into an evil angel and enemy of God based on theological Persian dualism where such a construct is present.
Jewish View
He (Satan) is clearly subordinate to God, a member of His suite (Heb. Bene ha-elokim), who is unable to act without his permission. Nowhere is he in any sense a rival of God. The Encyclopedia Judaica The Christian claim that it was Satan who created evil is utterly fraudulent according to our Tanach: I (God) form the light, and create darkness: I make peace, and create evil: I the LORD do all these things. Isaiah 45:7 God creates all things, not simply good things. There isn't a single verse in the entire Tanach that states that Satan ever created evil or ever disobeyed a command from God. Satan is an obedient servant of God in the Tanach who serves the role of man's accuser in God's court.
 
Back
Top Bottom