Hawezi kujibu hili,Unadhani kwa akili yako wewe mwafrika ambaye hadi pini umeshindwa kutengeneza unategemea utamjua Mungu
Ni MTU Wa ajabu anayeweza kutengeneza gari halafu akalibeba Badala ya gari kumbeba.Kizuri zaidi MUNGU wa Wakristo halazimishi kumuabudu yeye.
Kimbembe ni mungu wa imani ile ambapo waamini wake humueleza kuwa ni muumbaji wa viumbe vyote na ana uwezo wa kufanya yote lakini anashindwa tu kujitetea anapodhihakiwa, na hutetewa na aliyeumbwa na yeye (Mtu)...[emoji849][emoji124]
Shetani ameshaudhibiti ubongo wako, maskini. Sio wewe!Ukisoma kwa umakini biblia Mwanzo mpaka ufunuo utaelewa kuwa kitabu kimebadilisha wahusika, Sehtani ameitwa Mungu na Mungu ameitwa shetani.
Mungu wa kwenye biblia anaelezewa kuwa Mungu mwenye wivu anayechukia kuona unamsifu au kumfuata mungu mwingine, Anataka wewe tokea unaamka hadi unalala uwe unamuwaza yeye tu na kufanya kila kitu anachotaka yeye, wakati biblia haijaonesha kama Shetani ana wivu au anataka watu wafuate itikadi zake lasivyo atakasirika.
Kutokana na huu wivu, Mungu wa kwenye biblia ukihesabu ameua wanaume takribani millioni na ushee; 2, 345, 439 (Hapa hatujahesabu wanawake na watoto). Ukiconsider na source za nje ya biblia idadi inafika mpaka 22, 743, 746.
Watu alioua mungu ni wengi, kama wale vijana 42 aliowaua kwasababu walimtania Elisha kuwa ana upaa... Watu 147, 000 aliowaua kwasababu walitaka demokrasia maana walichoka kupelekeshwa na Mussa n.k.
Lakini Shetani wa kwenye biblia ameua watu 10 tu, tena hao 10 aliwaua kwasababu alishinikizwa na Mungu, Mungu alimbinya vidole shetani awaue wale watoto wa Ayubu.
Na muda huo huo, Mungu anasema atakuja siku ya mwisho kuchukua watu wake wachache tu na Kuwachoma kwa moto mkali wengine wote ambao hawakumsikiliza mchana na usiku.
Nani ni shetani apo? Na nani ni Mungu?
Sawa mkuu na sie wavaa kobazi ila mnatuanzaga wenyewe humu😃😂😃[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mkuu tuwache Wagala pulizi
sir God ana tuchezea movie ya squid game[emoji23],Bosi sio kufuru,, shetan hawezi kumzidi mungu nguvu, huyo mnaemwita shetani kama yupo, yupo kwa makusudi maalumu,, yaani hii ni kama game of chance, soma vizuri kisa cha ayub,, wakati shetan na mungu wakiwekeana dau juu ya ayub,
Soma issue ya farao, alietaka kuwaacha wana wa israel waondoke kwa amani,, kisha mungu akaufanya moyo wa farao kuwa mgumu ili tu apate kumuua,
Soma habari ya moses kutomtahiri mwanae, jambo lililopelekea jehova, amnyatie nyatie moses akikwepa kukanyanga mashonde na hadi akampiga kabari ya nguvu moses,, soma jinsi yehova alivyokua akibishana na moses kila wakati yehova alipokuwa akiwateketeza waisrael jangwani , hadi ikafikia hatua yehova anamwamuru moses amkate kichea mfalme wa agag, moses alipogoma, yehova akamwambia hataingia nchi takatifu kwa maana yehova atamuua moses,,
Ofcource hizo habari ni hekaya tu za wazee wa kiyahudi, kwani moses hakuwahi kuwepo[emoji2375]
😂😂😂😂😂😂😂😂Inshort: ajibu hoja,aache Mbambamba[emoji28]
Hayupo binadamu hata mmoja ambaye huwa anakufa hapa duniani pasipo Mungu kuwa ameruhusu. Hapo ulipo wewe, hata aje mtu adondoshe bomu la Nuklia, kama Mungu hajaruhusu, utaendelea kuwepo hata miaka 100 ijayo.Ukisoma kwa umakini biblia Mwanzo mpaka ufunuo utaelewa kuwa kitabu kimebadilisha wahusika, Sehtani ameitwa Mungu na Mungu ameitwa shetani.
Mungu wa kwenye biblia anaelezewa kuwa Mungu mwenye wivu anayechukia kuona unamsifu au kumfuata mungu mwingine, Anataka wewe tokea unaamka hadi unalala uwe unamuwaza yeye tu na kufanya kila kitu anachotaka yeye, wakati biblia haijaonesha kama Shetani ana wivu au anataka watu wafuate itikadi zake lasivyo atakasirika.
Kutokana na huu wivu, Mungu wa kwenye biblia ukihesabu ameua wanaume takribani millioni na ushee; 2, 345, 439 (Hapa hatujahesabu wanawake na watoto). Ukiconsider na source za nje ya biblia idadi inafika mpaka 22, 743, 746.
Watu alioua mungu ni wengi, kama wale vijana 42 aliowaua kwasababu walimtania Elisha kuwa ana upaa... Watu 147, 000 aliowaua kwasababu walitaka demokrasia maana walichoka kupelekeshwa na Mussa n.k.
Lakini Shetani wa kwenye biblia ameua watu 10 tu, tena hao 10 aliwaua kwasababu alishinikizwa na Mungu, Mungu alimbinya vidole shetani awaue wale watoto wa Ayubu.
Na muda huo huo, Mungu anasema atakuja siku ya mwisho kuchukua watu wake wachache tu na Kuwachoma kwa moto mkali wengine wote ambao hawakumsikiliza mchana na usiku.
Nani ni shetani apo? Na nani ni Mungu?
Hakuna mtu ambaye ameshikiwa fimbo kuwa mkristo kama mtu hapendi ukristo ni anaachana nao uzuri Tanzania ukihama dini huchukuliwi hatua za kinidhamu kama uarabuniHawezi kujibu hili,
Anapelekeshwa pelekeshwa TU
Ndo maana tunazd kua maskini TU
Na waliotuletea dini nao washatuona wapumbavu ndo maana sahv wanatuletea na ushoga kuzid kutudharau zaidi.
Mleta uzi ameshakuja na conclusion unamjibu ya nin, yaani umjibu mtu ambaye ameshachagua jibu ni ngumuTatzo lenu hamujibu hoja za mleta
Mi sio mleta uzi,ukinishambulia sikuelewi[emoji4]
Usiilaumu dini kwa umaskin wa afrika utakua akili huna samahan kama nimekuudhi kwa sababu shukuru hata hizo dini zimekuletea elimu na afya mwafrika alikua anaishi maisha primitive ashukuru dini hasa ya ukristo imemtoa kwenye gizaWachina walijitambua mapema sana
ndo maana wanapata maendeleo kwa Kasi sana na kufanya Yale tuliyozani kwa uwezo wao yasingewezekana
Hizi Islamic& Christianity zimetulemaza Sana waafrika na ndo tools za kutufanya tuzid kuamaskini forever.
Rejea yanayoendelea nyumba za ibada,
Ni michango michango Kwenda mbele.
Watu hawafanyi kazi siku nzima wanasali
Kwa mwendo huu,
Taifa linasongaje mbele Sasa, tujitafakari[emoji848]View attachment 2452629
Mungu akusamehe kwani hujui uandikacho.PALE WALIPOSHIRIKIANA KUMSHUGHULIKIA AYUBU ILI KUONESHANA UBABE PALE MDO NILIJUA MUNGU NI JAMBAZU
I NA SHETANI NI JANGILI.eti mtese lakini usimuue, kumbe jangili lina uwezo wa kuua aisee.
Siataki msamaha wake
USHETANI hupimwa kwa ile tabia ya kupingana na Kile kinachotakiwa siyo kwa kuua.( Rejea: Daudi, wanajeshi, MUSA, PAULO, nk).Ukisoma kwa umakini biblia Mwanzo mpaka ufunuo utaelewa kuwa kitabu kimebadilisha wahusika, Sehtani ameitwa Mungu na Mungu ameitwa shetani.
Mungu wa kwenye biblia anaelezewa kuwa Mungu mwenye wivu anayechukia kuona unamsifu au kumfuata mungu mwingine, Anataka wewe tokea unaamka hadi unalala uwe unamuwaza yeye tu na kufanya kila kitu anachotaka yeye, wakati biblia haijaonesha kama Shetani ana wivu au anataka watu wafuate itikadi zake lasivyo atakasirika.
Kutokana na huu wivu, Mungu wa kwenye biblia ukihesabu ameua wanaume takribani millioni na ushee; 2, 345, 439 (Hapa hatujahesabu wanawake na watoto). Ukiconsider na source za nje ya biblia idadi inafika mpaka 22, 743, 746.
Watu alioua mungu ni wengi, kama wale vijana 42 aliowaua kwasababu walimtania Elisha kuwa ana upaa... Watu 147, 000 aliowaua kwasababu walitaka demokrasia maana walichoka kupelekeshwa na Mussa n.k.
Lakini Shetani wa kwenye biblia ameua watu 10 tu, tena hao 10 aliwaua kwasababu alishinikizwa na Mungu, Mungu alimbinya vidole shetani awaue wale watoto wa Ayubu.
Na muda huo huo, Mungu anasema atakuja siku ya mwisho kuchukua watu wake wachache tu na Kuwachoma kwa moto mkali wengine wote ambao hawakumsikiliza mchana na usiku.
Nani ni shetani apo? Na nani ni Mungu?
Sswa, ndo maana unaambiwa majina ya watakaoingia mbinguni(ambako sielewi hasa ni wapi),yalishaandikwa kwenye kitabu cha uzima, kabla hata dunia haijaumbwa😂🙆♀️,USHETANI hupimwa kwa ile tabia ya kupingana na Kile kinachotakiwa siyo kwa kuua.( Rejea: Daudi, wanajeshi, MUSA, PAULO, nk).
Sasa wewe umeumbwa na umewekwa duniani na MUNGU. Hivyo ni lazima ufuate masharti unayoambiwa na siyo kinyume chake.
Na isitoshe kitu kilichotengenezwa kinaweza kubadilishwa kuwa chochote na yule aliyekitengeneza.
SHETANI naye ni kiumbe ambaye UHURU wake unategemea uamuzi wa MUNGU na hajaumba chochote. Kwahiyo, siyo sahihi kumweka Mwizi na mmiliki kwenye mizania sawa.
KIFUPI; Shetani hana nguvu yoyote, isipokuwa anapewa mamlaka ya kuwajaribu binadamu ila maamuzi ya Mwisho yanakuwa ya MUNGU ( Ni sawa na wakili mahakamani anapiga mbwembwe nyingi sana, ila maamuzi ya Mwisho ni ya HAKIMU).
Kwahiyo, binadamu wote wametenda dhambi, na hivyo wanaokolewa na REHEMA YA MUNGU.
Hujaona vifungu hapo juu?, Tukileta ya kiswahili ukali wa maneno unapungua,, ngoja ntakutafsiria nikipata mdaVitaje hivyo vifungu
Vitaje hivyo vifungu