Sasa kama Mungu mwenyewe ni wa waisrael wewe anakuhusu vipi? Mi nilifikiria huu uzi unamuongelea huyo Mungu wanaedai ameumba mbingu na duniaWapagani na wale wengine, msiomuamini Yesu, hebu mtafuteni mungu wenu mwingine, maana Mungu wa Israel amewakaateeni.
Mimi ni mwana wa YakoboSasa kama Mungu mwenyewe ni wa waisrael wewe anakuhusu vipi? Mi nilifikiria huu uzi unamuongelea huyo Mungu wanaedai ameumba mbingu na dunia
Sasa ww unadhani Mungu hana macho????? Yaani kukuumba ww na kukuwekea macho alafu kwake akashindwa???? Tatzo ninyi vijana theology ndo inayowapotosha, mkiifananisha na elimu ya Roho Mt.Dada @atu mbwele
Ngoja nikupe maana ya Haya maneno katika Lugha ya kingereza;
kuona=to see
kuangalia=to Look
Maana ya hayo maneno ni Hii,
see~is to perceive with Eye
Look~to turn an eye toward something in order to see
Kwa maana hiyo basi,Ili kuona inabidi Uangalie
Na Ili uone inabidi uwe na Macho.
so unaposema Mungu anaona watu wote lazima Mungu awe na Macho...[Physical eyes]
Na ili uwaone watu wote,lazima uwaangalie watu wote,
kwasababu kabla ya kuona inabidi uangalie kwanza..
Sawa mkuu!!!! Je ,ktk shida zako nani unaemtegemea 100%, maana yule unaemtegemea kW 100% ndie unaemwamini na ndo unamwabudu.kwa hio unataka kuniambia kua wanaomkiri yesu hawateseki? hawana matatizo kwenye ndoa zao? ni matajiri? hawana mahangaiko yoyote? hawafiwi wala kufa? kua makini na hoja zako.sisi ni binadamu tunakumbana na matatizo mbalimbali kwa sababu kuu tatu 1,hatujakamilika so mtu yoyote hata awe mdini vipi atakumbana na matatizo tu 2,shetani naye anahusika 3, tukio lisilotazamiwa humkuta mtu yoyote soma mhubiri 9:11 maana yake kuna accident au lada mtu anatembea ghafla akagongwa na gari ni tukio lisilotazamiwa so ni muhimu kua na usawaziko kuhusu jinsi mungu anavyotoa msaada kuelekea watu wake ulimwenguni kwani sio tu wanaomwamini eti ndo hawana magumu.kwani jaman hamjawahi kuwaona watu ambao hawamwamini mungu wanapona kwenye accident na bado wana maisha mazuri
WARUMI 10:9--10Hebu tuanze hapa kuokoka n nn?
Mungu anajua nini anafanya, mi naona bora ujitahidi kumtafuta tu kwa nguvu alizokujaalia.Sasa ww unadhani Mungu hana macho????? Yaani kukuumba ww na kukuwekea macho alafu kwake akashindwa???? Tatzo ninyi vijana theology ndo inayowapotosha, mkiifananisha na elimu ya Roho Mt.
MUNGU anasikia pia anaona,adamu Na Eva walipokula tunda MUNGU alikata mawasiliano. So kama unatenda dhambi huwezi kufanya mawasiliano na MUNGU anakuona sio sauti zote MUNGU anasikia. Hujatubu dhambi unafunga Na kuomba MUNGU awezi sikia, kama umetubu dhambia MUNGU anasikia tofautisha hapo c sauti zote MUNGU anasikia. Amen!Mungu anajua nini anafanya, mi naona bora ujitahidi kumtafuta tu kwa nguvu alizokujaalia.
N.B kumbuka Mungu anajua kila kitu, alimuumba shetani akijua siku moja atakuwa shetani. Aliwaumba Adamu na Hawa akijua siku moja watakula tunda, maana yeye ana nguvu za mwisho na anajua kila kitu na anaona kila kitu.
Ninacho weza kukushauri, soma ambacho unaweza, sema unachoweza kusema juu yake, muabudu namna unayoweza kujitahidi, ila mungu kaumba ulimwengu ulivyo na alitaka uwe hivyo toka mwanzo!