Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,056
Sasa kama Mungu mwenyewe ni wa waisrael wewe anakuhusu vipi? Mi nilifikiria huu uzi unamuongelea huyo Mungu wanaedai ameumba mbingu na duniaWapagani na wale wengine, msiomuamini Yesu, hebu mtafuteni mungu wenu mwingine, maana Mungu wa Israel amewakaateeni.