Sawa nitasoma mkuuKwani mkuu unajua maana ya ndoa? Mahali na posa ndo ndoa...soma biblia kama ni mkristo...
wanasema wanawake wana mature mapema kuliko mwanamume... hiyo interval siyo kama ratio ya 3:1??Hapana,ila tumepisha tu umri...29 mimi...yeye 36
Habari ndugu zangu,
Napenda kutumia nafasi hii kuwainua mioyo wanawake wenzangu wenye nia kama niliyokuwa nayo ya kuishi na mume.
Katika imani, subra na uvumilivu inawezekana. Mwenzenu nimefanikiwa kuolewa nilitolewa posa tar 14/7/2017 na mahari 16/9/2017.
Mengi nimepitia ya kukwaza na kukwazwa lakini yote yako ndani ya mfumo wa maisha ya binadamu yapasa kujili.
Wanawake wenzangu mume anapatikana popote na katika umri wowote na kwa hali yoyote(am a singlemom) kikubwa kujitunza hata ukutane na eat and run wangapi wewe vumilia, time will tell. Mhusika Mungu akubariki sana kipenzi.Asante sana.
NB: No sendoff or weddingcard, we are for making goodfamily ourkids is ourcelemon.
Mbarikiwe sana wana JF.
Mkuu acha uchuro basina hiyo ndoa ilikuwa tarehe ngap??....coz wapo wanaopoteaga hata ile silu ya Harusi yenyewe.....
Sio Uchuro Khantwe kwa dunia ya sasa kuna mambo sio ya kuyaweka wazi hadharani mpk uhakikishe umeshafanikiwa 100% watu wamekuwa na roho mbaya sana wakiona tu unatangaza kuwa unakaribia kufanikiwa jambo fulani wanalivuruga...na kuhusu matukio ya Bwana harusi kuingia mitini siku chache kabla ya harusi ni mengi tu.Mkuu acha uchuro basi