Mungu ni mwema, nimefanikiwa kupata mume

Mungu ni mwema, nimefanikiwa kupata mume

Sijaelewa hapo mwisho..ni kwamba furaha imezidi mkuu mpaka ukakosea kutype au...anyway hongera sana mkuu
 
Namhurumia huyo kidume, unless uwe na adabu, umsahau huyo ex wako, la sivyo jamaa aweza kupata kiharusi.
 
Habari ndugu zangu,

Napenda kutumia nafasi hii kuwainua mioyo wanawake wenzangu wenye nia kama niliyokuwa nayo ya kuishi na mume.

Katika imani, subra na uvumilivu inawezekana. Mwenzenu nimefanikiwa kuolewa nilitolewa posa tar 14/7/2017 na mahari 16/9/2017.

Mengi nimepitia ya kukwaza na kukwazwa lakini yote yako ndani ya mfumo wa maisha ya binadamu yapasa kujili.

Wanawake wenzangu mume anapatikana popote na katika umri wowote na kwa hali yoyote(am a singlemom) kikubwa kujitunza hata ukutane na eat and run wangapi wewe vumilia, time will tell. Mhusika Mungu akubariki sana kipenzi.Asante sana.

NB: No sendoff or weddingcard, we are for making goodfamily ourkids is ourcelemon.

Mbarikiwe sana wana JF.

hongereni sana, mungu awabariki katika maisha yenu ya ndoa.
 
Mama hongera, at least moyo wako utakuwa na amani. Hamna ulichobakiza maishani zaidi ya kujiendeleza kimaisha huku ukiimarisha familia yako. Utulizane sasa!
 
Mkuu acha uchuro basi
Sio Uchuro Khantwe kwa dunia ya sasa kuna mambo sio ya kuyaweka wazi hadharani mpk uhakikishe umeshafanikiwa 100% watu wamekuwa na roho mbaya sana wakiona tu unatangaza kuwa unakaribia kufanikiwa jambo fulani wanalivuruga...na kuhusu matukio ya Bwana harusi kuingia mitini siku chache kabla ya harusi ni mengi tu.
 
Back
Top Bottom