Yeah!
Ashukuriwe mwenyezi Mungu ambaye hana upendeleo na ubinafsi,ashukuriwe mwenyezi Mungu ambaye ni mwenye huruma na upendo, ashukuriwe mwenyezi Mungu ambaye anasamehe na mwenye kurehemu!
Hata kama tunapita katika pito la aina gani Mungu akuwa ni Mungu tu.
Asante mleta mada.