Mungu nisaidie bado nina ndoto za kumuoa Butogwa Shija

Mungu nisaidie bado nina ndoto za kumuoa Butogwa Shija

kwani nitamuoa bure?


Ndiyo, lazime uwalipe wazazi wake kitu fulani, pesa au ng'ombe. Swali ni malipo hayo yanaangalia kitu gani kabla ya kukadiria kiasi ??, je malipo hayo yanafanana kati ya wanawake wanaoolewa??--- ukitafakari ndipo utaona kwamba hayo malipo ni kama "bei ya bidhaa" dukani.
 
Aman iwe juu yenu wakuu wa jukwaa hili
Kama kichwa cha cha habari kinavyosomeka hapo juu
Nishawahi kuleta uzi hapa nikielezea kwa masikitiko makubwa sana ni kwa namna gani namzimikia butogwa, watu waliniponda sana na kudai kuwa nimepotea njia kwa kuwa demu ana sura ya baba yake ni mbaya sijui hana shep
Niliwashangaa sana walionibeza maana wao wanazani kila aliye mbaya kwao basi pia atakuwa mubaya kwa wengine,
Mimi kwangu butogwa ni wife material ni mwanamke aliye kamilika kuanzia sura, umbo urefu hadi akili
Kuna watu watasema kuwa yule dada ni msomi hivyo sitaweza lakin mimi nitawacheka kisukuma hiiiiiiii afu nitarudi kwenye mandiko ya kitabu kimoja kitakatifu cha bible ambacho kimesema ishini na wanawake kwa akili tu, kwa msitari huo wa biblia inamanisha kuwa mwanamke akikuzid urefu siyo mbaya pia mwanamke akikuzidi rangi siyo mbaya pia mwanamke akikuzidi kipato siyo mbaya ila kibaya tu asikuzidi akili na pia kibaya zaid ni kuwa malio hicho ndo kibaya
Mimi bado sijachoka kukupenda wewe butogwa shija mimi nakupenda sana tena upendo kutoka moyoni kabisa
Nakuhitaji sana wewe dada
Ni bora nipigwe mawe lakin si kukosa upendo wako
Ni ukweli usio na shaka ya kwamba mimi hunijui wala hujawahi kuniona lakin mimi nakupenda sana, naomba ujue hilo na kama itakupendeza bas unijue pia
Butogwa wewe ndo mwanamke ambaye niko tiar nikose chakula lakini siyo kukukosa wewe, ndo maana ninamuomba Mungu mwenyezi afanikishe katika hili
Mimi ni kijana mwenzako wa kisukuma
Nakuzimikia sana butogwa
Kwa wasiojua maana ya butogwa, BUTOGWA ni jina la kisukuma likiwa na maana ya UPENDO AU PENDO
Naomba dunia nzima inisaidie kufukikisha ujumbe huu kwa mhusika naomba hata media au blog zinisaidie sana
Naomba dunia nzima ijue kuwa nampenda huyu dada
Asanteni sana
Nawasilisha
View attachment 1193725View attachment 1193726View attachment 1193727akucho]
+255713535424
Mbona nimemuwahi Mimi na ukizidi kumfuatafuata nitamwambia Musiba akuchomoe betri.
 
Ndiyo, lazime uwalipe wazazi wake kitu fulani, pesa au ng'ombe. Swali ni malipo hayo yanaangalia kitu gani kabla ya kukadiria kiasi ??, je malipo hayo yanafanana kati ya wanawake wanaoolewa??--- ukitafakari ndipo utaona kwamba hayo malipo ni kama "bei ya bidhaa" dukani.
Mweupe wa kuzaliwa siyo wa rangimbili ana ng'ombe wengi kama 30 na zaidi kuliko mweusi wa kikurya mwenye ng'ombe watano.
 
Ndiyo, lazime uwalipe wazazi wake kitu fulani, pesa au ng'ombe. Swali ni malipo hayo yanaangalia kitu gani kabla ya kukadiria kiasi ??, je malipo hayo yanafanana kati ya wanawake wanaoolewa??--- ukitafakari ndipo utaona kwamba hayo malipo ni kama "bei ya bidhaa" dukani.
Hayo malipo huwa yanategemea na muoaji mwenyewe kias cha pesa au mifugo aliyoambiwa kulipa kama anayo

Ka mfano mimi nikiambiwa nitoe mahali ya milion mia kwa butogwa huo utakuwa uongo maana sina lakin kuna mwingine akiambiwa atoe bilion moja anaweza toa maana anayo

Kwahiyo shida ipo kwetu sisi waoaji
 
Mweupe wa kuzaliwa siyo wa rangimbili ana ng'ombe wengi kama 30 na zaidi kuliko mweusi wa kikurya mwenye ng'ombe watano.


Kwahiyo rangi yake ndiyo thamani yake!!, kumbuka ubora wa bidhaa ndiyo kipimo cha thamani yake.

Sasa huyo dada utamtofautishaje na bidhaa kama kanga au simu?!!, siku ambayo mumewe atakapo mwambia; ""unajua wewe nimekutolea kwenu ng'ombe mia hivyo acha uvivu wako" --- hapo utasemaje??🤣🤣
 
Hayo malipo huwa yanategemea na muoaji mwenyewe kias cha pesa au mifugo aliyoambiwa kulipa kama anayo
Ka mfano mimi nikiambiwa nitoe mahali ya milion mia kwa butogwa huo utakuwa uongo maana sina lakin kuna mwingine akiambiwa atoe bilion moja anaweza toa maana anayo
Kwahiyo shida ipo kwetu sisi waoaji
Sasa kama hauna kamilioni kamoja unatafuta nini hapa? Unatupotezea muda na nafasi nenda Sinza kwenye saizi yako.
 
Back
Top Bottom