seyayi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 683
- 811
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado nina matumain ya kumpata ingawa sijui hata kama ashawahi soma ujumbe huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Shemeji mbona unaniangushaHuyu ni dada yangu wa damu kabisa.Miezi 2 mbele atakuja home likizo.Ngosha una ng'ombe wangapi wa kutupa kama mahari?
Duh
Vp jamaa alileta ng'ombe au maneno tuHuyu ni dada yangu wa damu kabisa.Miezi 2 mbele atakuja home likizo.Ngosha una ng'ombe wangapi wa kutupa kama mahari?
Bora hata angeleta maneno. Alikula kona kabisa. 🤣Vp jamaa alileta ng'ombe au maneno tu
Kwahiyo kumbe alikuwa mhuni tu au binti alichomoa akamuona mwana hana swagaBora hata angeleta maneno. Alikula kona kabisa. 🤣