Kilimbatz
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 4,331
- 5,865
AaahaaaHata wakifungwa 'Halitahaibika' mkuu nikutoe wasiwasi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AaahaaaHata wakifungwa 'Halitahaibika' mkuu nikutoe wasiwasi.
Hata miyeNmeota simba wameshinda 2
Somo la kiswahili hukuzingatia vema weweHabari..
Toka uwanja ukalabatiwe kesho ndo itakuwa mechi ya kwanza kupigwa.
Kuna mambo kadhaa nayaona yanatokea kesho.
1.simba kufungwa goli zaidi
3.
2..umeme kukatika ghafla
Wanasema kuna standby generator,ila hofu yangu ipo kwa wanaomkwamisha mama samiha ,nahisi washahonga pesa nyingi ili siku ya kesho taifa lihaibike,mungu saidia Tanzania.
3..mashabiki watakaoingia na matokeo litawakuta jambo,mpira ni dakika 90 basi vyombo vya usalama kesho ziwe makini,na huduma za kwanza ziwe stand by.
4..kocha robertinho kupewa kwa heri,watasema kachezesha wachezaji.wa ovyo,na itatokea mashabiki kutaka kocha atimuliwe.
5..baada ya mechi Ahmed ALLY atawaomba msamaha mashabiki wote kwa kauli zake za kishamba.
Mungu saidia tanzania
Umekaa na hii handwriting hujawahi panda ndege😁Sijazungumzia yanga hapa mbona una wasiwasi ndugu,kweli yanga Baba yao
Nitapanda nikienda mbinguniUmekaa na hii handwriting hujawahi panda ndege😁
Jibu kwa ID yako ukisema kwa sautiUnadhani simba ni utopolo?