Mungu si mnyimi, stori ya Emma Kok inasikitisha lakini inafariji na kufurahisha pia

Mungu si mnyimi, stori ya Emma Kok inasikitisha lakini inafariji na kufurahisha pia

dalalitz

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2013
Posts
3,423
Reaction score
1,987
Anaitwa EMMA KOK, Binti wa miaka 16 tu. Usipoambiwa anayoyapitia Kiafya utadhani ni binti asiekuwa na shida yoyote kimuonekano.

Hatahivyo uhalisia ni kuwa binti huyu anao mzigo mkubwa, changamoto anayoipitia. Inasikitisha, inahuzunisha lakini ukiisoma Historia yake na anayoyafanya pasi na shaka kuna mahali utatabasamu na pengine utabubujikwa na chozi lenye hisia mchanganyiko.

Maradhi yake Emma ni aghalabu kusikia mtu anaugua kama si kuwa hata wewe pengine ama wengi wetu ndio tunajua uwepo wake kupia kwake yeye.

Kifupi Emma 'ame-paralyze' Tumbo lake. Yaani Tumbo halifanyi kazi kama ambavyo ingetarajuwa kwa Mwanadamu yeyote Hai. Huu ni Ulemavu wa kuogofya na hatari. Sasa, anaishije? Mwingine anaweza kuuliza,
Ni kuwa Emma anatumia Mipira maalum kupitisha chakula mwilini mwake (Si kula kupitia mdomo)

Emma ni Mzaliwa wa 'Udachi' pengine ashukuru, Mbinu na Teknolojia za Matibabu kwa wenzetu pengine zinamsaidia na zimemuokoa maana sipati picha angekuwa kazaliwa Nchi zetu 'Bundesliga' sijui ingekuwaje?

Wanasema Mungu hamtupi Mja wake na hata akikunyima hakunyimi vyote. Emma amejaaliwa kipaji kikubwa cha Uimbaji Muziki. Mwaka 2021 aliibuka kuwa mshindi katika mashindano ya vipaji kwa watoto kule Udachi.

Baada ya kupenya tu hapo akajitoa 'sadaka' na kusema atapigana kwa kutumia kipaji chake kutafuta Pesa ili kusaidia tafiti za Kutibu matatizo ya aina anayoyapitia kwa wengine. Kuanzia hapa na akiwa umri wake huo mdogo ameanza kuingiza Pesa na anadai hatochoka kupambana ili ndoto yake hiyo itimie.

Mwaka jana Disemba kafanya 'Cover' ya Nguli wa Ufaransa mwanadada Barbara Pravis wimbo Mkubwa sana unaoitwa 'Voila' alichokifanya humo Emma si tu alidhihirisha kipaji chake pekee,bali aliwaliza watu 'live' na kuanzia hapo ni kama nyota yake inazidi tu kupaa na kujiengea Heshma zaidi angali mdogo.

Emma Kok namuona akiwa mbali sana.

Pitia hapa umuone:

View: https://www.youtube.com/watch?v=KdIhq1tb8Co

Nawasilisha.
 
Ungeweka na link ya video toka youtube ingependeza.
 
Anaitwa EMMA KOK, Binti wa miaka 16 tu.
Usipoambiwa anayoyapitia Kiafya utadhani ni binti asiekuwa na shida yoyote kimuonekano.

Hatahivyo uhalisia ni kuwa binti huyu anao mzigo mkubwa, changamoto anayoipitia.
Inasikitisha, inahuzunisha lakini ukiisoma Historia yake na anayoyafanya pasi na shaka kuna mahali utatabasamu na pengine utabubujikwa na chozi lenye hisia mchanganyiko.

Maradhi yake Emma ni aghalabu kusikia mtu anaugua kama si kuwa hata wewe pengine ama wengi wetu ndio tunajua uwepo wake kupia kwake yeye.

Kifupi Emma 'ame-paralyze' Tumbo lake.
Yaani Tumbo halifanyi kazi kama ambavyo ingetarajuwa kwa Mwanadamu yeyote Hai.
Huu ni Ulemavu wa kuogofya na hatari.
Sasa, anaishije?
mwingine anaweza kuuliza,
Ni kuwa Emma anatumia Mipira maalum kupitisha chakula mwilini mwake (Si kula kupitia mdomo)

Emma ni Mzaliwa wa 'Udachi' pengine ashukuru,
Mbinu na Teknolojia za Matibabu kwa wenzetu pengine zinamsaidia na zimemuokoa maana sipati picha angekuwa kazaliwa Nchi zetu 'Bundesliga' sijui ingekuwaje?

Wanasema Mungu hamtupi Mja wake na hata akikunyima hakunyimi vyote.
Emma amejaaliwa kipaji kikubwa cha Uimbaji Muziki.
Mwaka 2021 aliibuka kuwa mshindi katika mashindano ya vipaji kwa watoto kule Udachi.

Baada ya kupenya tu hapo akajitoa 'sadaka' na kusema atapigana kwa kutumia kipaji chake kutafuta Pesa ili kusaidia tafiti za Kutibu matatizo ya aina anayoyapitia kwa wengine.
Kuanzia hapa na akiwa umri wake huo mdogo ameanza kuingiza Pesa na anadai hatochoka kupambana ili ndoto yake hiyo itimie.

Mwaka jana Disemba kafanya 'Cover' ya Nguli wa Ufaransa mwanadada Barbara Pravis wimbo Mkubwa sana unaoitwa 'Voila' alichokifanya humo Emma si tu alidhihirisha kipaji chake pekee,bali aliwaliza watu 'live' na kuanzia hapo ni kama nyota yake inazidi tu kupaa na kujiengea Heshma zaidi angali mdogo.

Emma Kok namuona akiwa mbali sana.

Pitia hapa umuone:
View: https://www.youtube.com/watch?v=KdIhq1tb8Co

Nawasilisha.

That's real terrible disease I ever heard and never thought that there could be a person suffering from such disease surviving. Tears were running down my cheeks when I was watching her performance 😭
Emma Kok is really talented perhaps she might reach very far in music realms. Namuona Celine Dion wa baadae through her eyes.
 
That's real terrible disease I ever heard and never thought that there could be a person suffering from such disease surviving. Tears were running down my cheeks when I was watching her performance 😭
Emma Kok is really talented perhaps she might reach very far in music realms. Namuona Celine Dion wa baadae through her eyes.
That's real terrible disease I ever heard and never thought that there could be a person suffering from such disease surviving. Tears were running down my cheeks when I was watching her performance 😭
Emma Kok is really talented perhaps she might reach very far in music realms. Namuona Celine Dion wa baadae through her eyes.

Surely it is horrific and a saddening situation to imagine anyone going through it,
Let alone for as a young talented poor a Soul as Emma.

As for your envision regarding Her carrier in Music,
You are right. In fact, I am of the same opinion that she will, without a doubt reach to greater heights.

Strange, I likened her to a mini Celin Dion too right the moment I saw her on a Vid Singing,

What a coincidence!

EMMA KOK,
A 'mega Super Star' in-the-making.
 
Back
Top Bottom