Mungu wa Askofu Gwajima ameshindwa baada ya Paul Makonda kuteuliwa?

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
Akiongea kanisani kwake, alisema kuwa amemfuta rasmi Makonda na hata onekana tena kwenye ulimwengu wa siasa, sasa makonda ameonekana tena na sasa ni boss wa Gwajima na Nape Nnauye.

Ikumbukwe pia askofu Gwajima aliwahi kumtoa mtu pepo akalielekeza lile pepo kwa Makonda, mbele
ya waumini pepo likamwambia Makonda haingiliki.

Tujikumbushe jinsi Makonda alivyo futwa
View: https://youtu.be/OleVb8LOJ14?si=OFdNPf7JkxEsoLx-
Vudeo 2: Jinsi Pepo lilivyogoma kwenda kwa Makonda
Your browser is not able to display this video.
 
Huyu naye ni tapeli kama matapeli wengine
 
Pia hata mchungaji Mashimo alisema kwa vile msemaji wa team ya Simba hajapokea simu yake na kutoa sadaka,Simba watafungwa goli nyingi na Al Ahly,

Nakumbushia tu.
Juzi kapakwa kilainishi, akienda cairo shughuli inakamilika
 
Gwajima huyu changono aliyevunja ndoa ya Flora Mbasha hawezi kuwa na uwezo wa kuamrisha pepo alikuwa anawaibia waumini wake tu
 
Kuna askofu halafu kuna nature. Nature haiwezi zuiwa na askofu
 
Hakuna Mungu.

Ukisikia "Mungu" ujue ni siasa za watu wanaopambana na hali zao tu hizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…