Mungu wa Askofu Gwajima ameshindwa baada ya Paul Makonda kuteuliwa?

Mungu wa Askofu Gwajima ameshindwa baada ya Paul Makonda kuteuliwa?

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
Akiongea kanisani kwake, alisema kuwa amemfuta rasmi Makonda na hata onekana tena kwenye ulimwengu wa siasa, sasa makonda ameonekana tena na sasa ni boss wa Gwajima na Nape Nnauye.

Ikumbukwe pia askofu Gwajima aliwahi kumtoa mtu pepo akalielekeza lile pepo kwa Makonda, mbele
ya waumini pepo likamwambia Makonda haingiliki.

Tujikumbushe jinsi Makonda alivyo futwa
View: https://youtu.be/OleVb8LOJ14?si=OFdNPf7JkxEsoLx-

Vudeo 2: Jinsi Pepo lilivyogoma kwenda kwa Makonda
 
Akiongea kanisani kwake, alisema kuwa amemfuta rasmi Makonda na hata onekana tena kwenye ulimwengu wa siasa, sasa makonda ameonekana tena na sasa ni boss wa Gwajima na Nape Nnauye.

Ikumbukwe pia askofu Gwajima aliwahi kumtoa mtu pepo akalielekeza lile pepo kwa Makonda, mbele
ya waumini pepo likamwambia Makonda haingiliki.

Tujikumbushe jinsi Makonda alivyo futwa
View: https://youtu.be/OleVb8LOJ14?si=OFdNPf7JkxEsoLx-

Vudeo 2: Jinsi Pepo lilivyogoma kwenda kwa Makonda
View attachment 2789243

Huyu naye ni tapeli kama matapeli wengine
 
Pia hata mchungaji Mashimo alisema kwa vile msemaji wa team ya Simba hajapokea simu yake na kutoa sadaka,Simba watafungwa goli nyingi na Al Ahly,

Nakumbushia tu.
Juzi kapakwa kilainishi, akienda cairo shughuli inakamilika
 
Akiongea kanisani kwake, alisema kuwa amemfuta rasmi Makonda na hata onekana tena kwenye ulimwengu wa siasa, sasa makonda ameonekana tena na sasa ni boss wa Gwajima na Nape Nnauye.

Ikumbukwe pia askofu Gwajima aliwahi kumtoa mtu pepo akalielekeza lile pepo kwa Makonda, mbele
ya waumini pepo likamwambia Makonda haingiliki.

Tujikumbushe jinsi Makonda alivyo futwa
View: https://youtu.be/OleVb8LOJ14?si=OFdNPf7JkxEsoLx-

Vudeo 2: Jinsi Pepo lilivyogoma kwenda kwa Makonda
View attachment 2789243

Kuna askofu halafu kuna nature. Nature haiwezi zuiwa na askofu
 
Akiongea kanisani kwake, alisema kuwa amemfuta rasmi Makonda na hata onekana tena kwenye ulimwengu wa siasa, sasa makonda ameonekana tena na sasa ni boss wa Gwajima na Nape Nnauye.

Ikumbukwe pia askofu Gwajima aliwahi kumtoa mtu pepo akalielekeza lile pepo kwa Makonda, mbele
ya waumini pepo likamwambia Makonda haingiliki.

Tujikumbushe jinsi Makonda alivyo futwa
View: https://youtu.be/OleVb8LOJ14?si=OFdNPf7JkxEsoLx-

Vudeo 2: Jinsi Pepo lilivyogoma kwenda kwa Makonda
View attachment 2789243

Hakuna Mungu.

Ukisikia "Mungu" ujue ni siasa za watu wanaopambana na hali zao tu hizo.
 
Back
Top Bottom