Mungu wa Kabili: Ali Kiba kuzimiwa microphone Mombasa ni ushirikina

Mungu wa Kabili: Ali Kiba kuzimiwa microphone Mombasa ni ushirikina

Sawa mganga mi nitakuja unishushe Nyota maana nashobokewa na totoz hadi nakereka
 
Dah! Naona Watanzania wanaendelea kututangaza nchi yetu haidhuru hata kama ni kwa viroja!

Thank you Kiba, Thank You Kalu manila!
 
Afrika tunasafari ndefu sana yakutumia akili,na uvumbuzi wa mambo mbali mbali yanayohitaji kutumia akili yakawaida.
 
Sasa nimepata maelezo ya kina kuhusiana na tukio la kuzimia watu kwenye mkutano wa ukawa mwaka Jana pale Tanga!
 
Hakika yupo Mungu pekee ambaye ni Baba wa mbinguni yy baraka zk hazina mashart wala mateso km utamwamin ila kila mtu na iman yk anayohis ndo suluhisho wa matatizo
 
Wakuu naomba kuuliza, kama umeshawahi kutibiwa na "Mungu wa kabili" nijuze kama ni mtaalam wa uhakika na sio tapeli.
 
Back
Top Bottom