Mungu wa kweli hahitaji haya tunayoaminishwa

Hahahahahahaha
 
Fungu la kumi lipo moyoni mwako ,jamii inayokuzunguka watu wenye shida unawafahamu , wape mwenyewe , achana na hizi taasisi za wapiga dili . Wanadiriki kusema Mungu anahitaji pesa !! Ni uwongo mchana kweupeee !!
 
Fungu la kumi lipo moyoni mwako ,jamii inayokuzunguka watu wenye shida unawafahamu , wape mwenyewe , achana na hizi taasisi za wapiga dili . Wanadiriki kusema Mungu anahitaji pesa !! Ni uwongo mchana kweupeee !!


Binafsi nitawapa kutokana na huduma zao lakin si kwa kutishwa na kuogopeshwa eti namuibia Mungu. Hivi mali yako inaweza kujiiba yenyewe.
 
Unacheka nin Boss
Mkuu kuna agenda kubwa sana ya hawa viongozi wa dini kwenye suala zima la sadaka na zaka, hususan viongozi wa makanisa. Sadaka katika uislam zimeshajihishwa zielekezwe kwa wahitaji na kuna aya nzima kwenye qur an inayozungumzia hilo na mgawanyo unatakiwa uweje. Tena mpaka mpangilio wa wanaopata hizo sadaka. Yaani anatakiwa apate nani kwanza halafu nani apate baadae. Mtume Muhammad (s.a.w) anatuambia hakuna sadaka bora zaidi ya ile unayowapa wazazi wawili, halafu watu wa nyumbani, halafu majirani, halafu maskini, halafu wapita njia, mlolongo unaendeleeaaaa. Hawa wanakuja wakaomba wakaomba misikitini wanakuwa ni magumashi tu na ki-ukweli hili suala ni zito zaidi makanisani kwa uono wangu
 


Yaani unalikuta ljitu hata halisaidii wazazi wake, wala watoto wa ndugu zake, au majirani lakini usishangae huko kwenye mahekalu akifanya fujo za sadaka na harambee
 
Mh..unamjuaje Mungu bila kufahamishwa?
 
Naomba uzungumzie upande wa Pili
Ama kuhusu Waislam,samahani,hili litoe kbs Chief

Uislam halisi,haukusanyi Sadaka na Zaka,kisha wakala Masheikh!!!
Hili hakuna Kisheria

Zaka
Ni mali ambazo,huchukuliwa kutoka kwa Matajiri na kupelekwa kwa Maskini

Huu ndio Uislam
Kadhalika sadaka
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…