Mungu wa kweli hahitaji haya tunayoaminishwa

Sasa Mungu akimuadhibu kiumbe wake aliyemuumba mwenyewe kosa lipo wapi??, si kamuimba yeye mwenyewe na anajua mapungufu yake!!.

Vipi we dogo!!
Na ndiyo maana Mungu alipotaka kuichoma sodoma na gomora alimwacha LUTU kwasababu ya rafiki yake Ibrahim, na Ibrahim alimwambia Mungu waweza angamiza watu wote ikiwa kuna 1 mwenye haki?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu akambarikia mwanadamu, nendeni mkatawale wanyama wa mwitu,
ndege wa angani na samaki wa baharini, acha tule mkuu
Mimi sishangai kwani hakuna kiumbe mroho kuliko binadamu, yeye anakula kila kitu hata vile vinavyoweza kumdhuru.[emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watumishi wa Mungu wapo pia hata makanjanja wapo, ila yote hayo Mungu ndiye anaye wajua, hata kipindi Yesu anahubiri walikuwepo watumishi kama mafarisayo na aliwambia mnawatwisha watu mizigo mizito ukiwa nyie hambebi, hapo hapo mtu kama Kornelio aliambiwa Sala zako sadaka zakozimefika juu na kuwa ukumbusho mbele za Mungu, kwa faida ya wabishi Matendo 10:1-4 na ili kuelewa wasome sura yote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza sadaka inapaswa kuwa siri!
Lakini Siku hizi utasikia Mwenye shilingi kadhaa anyooshe mkono Juu n.k
Mara walotoa nyingi wapite mbele waombewe madhabahuni !
Kuna mambo huko mmh?!
Wakati saingine Yule alotoa kidogo Kama katoa kwa moyo wa imani ndo atakaepewa thawabu!
 
Ila yote tisa kumi binafsi naona bado kuna umuhimu mkubwa wa kumtolea Mungu sadaka kwa moyo wa Imani na Upendo !
Haijalishi kitu chochote!
 
Ila ktk mambo yote tunapaswa kuwa na tunda la kiasi!
Siyo utoe hela yote halafu ukose ada ya Shule ya watoto kwa mfano!
Imeandikwa " mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa nguvu zako zote, kwa roho yako yote na kwa AKILI yako yote!
Mungu hapendi ujinga na upumbavu!
 
Joka mada za imani bado huziwezi. Hapo juu inajichanganya sana unawaasa watu juu ya Mungu wa kweli ambaye yote uliyoyakataa anayahitaji. Inatakiwa usiwevuguvugu no iwe no na yes iwe yes.

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Halafu Kwani kumtolea Mungu sadaka lazima ukatoe kanisani?
Mtu akijiwekea utaratibu wa kusaidia wajane na yatima kwa mfano au wagonjwa mahospitalini Je si ni Sawa pia?
Ila inapaswa kufanyika kwa uaminifu wote pasipo Mtu kujidanganya mwenyewe nafsi Yake!
 
Mungu akambarikia mwanadamu, nendeni mkatawale wanyama wa mwitu,
ndege wa angani na samaki wa baharini, acha tule mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app


Ni sahihi, neno "kutawala" lina maana maana pana sana na ndiyo maana tunakula nyama ya swala na hapohapo hatuli nyama ya mbwa au simba ingawa wote tunawatawala.

Watu tumekatazwa kula nguruwe kwa sababu nguruwe anasababisha watu wawe (MASHOGA), utafiti unaonyesha kwamba Mashoga walianza kula nyama ya nguruwe kwa wingi (staple food) toka walipokuwa wadogo hadi ukubwani.

Tule vyakula kwa kutafakari ili tusijekula vyakula vinavyoweza kutuingiza katika kutenda dhambi.
 

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji851][emoji851][emoji851]
 
Acha kudanganya watu , hao hao wanaosema hawali nguruwe ndiyo wanaongoja kwa huo usodoma, tunajua sana tatizo huwa tuna staha ya maneno, nakukaribisha nina ninafuga hao nguruwe nitafutiage wateja mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Soma Matendo ya mitume 10 labda uwe ni wale wanyofoa vifungu vinavyokufunga mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…