Nakuomba Mungu awalaani Hawa wahuni waliouza ges yetu ya Mtwara kihuni maana walichokifanya ni kitendo Cha mauaji makubwa kwa ustawi wa nchi yetu.
Gesi ndo uchumi wa nchi ya Urusi,wao wametumia hii lasilimali kukuza uchumi wao na ulaya mashariki wanamtegemea mrusu Kwa hii nishati.Ubabe wa Russia upo ndani ya ges .
Leo Tanzania tuna mgoa wa umeme kwa upumbavu wa watu wachache ,inauma Sana ,sasa kama nchi tutapataje maendeleo kwa hali hii.
Lakini napata faraja utawala ujao Hawa watu wataozea magereani kwa uhujumu walioufanya .
Mlaaniwe naludia Tena na VIZAZI vyenu na Kila mlichokivuna kwa wizi huo kisambalatike na familia zenu zizidi kupata Kila aina ya majanga na ikiwezekana mfe wote Mana nyinyi ni zaidi ya mashetani.
Hii ni laana na itawatesa washenzi wote waliolihalibu Taifa hasa hili swala la gesi yetu ya MTWARA,AMINA.
Sent using
Jamii Forums mobile app