Mungu wakumbuke watanzania, likumbuke taifa lako teule Tanganyika

Mungu wakumbuke watanzania, likumbuke taifa lako teule Tanganyika

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Mungu usiruhusu kikundi cha watu wachache kuamua juu ya watanzania ila wafungue watanzania macho ili waamie hatima yao na taifa lao wenyewe.

Iwe ni kwa nguvu ya mwanadam au taifa lolote lile kamwe wasifanikiwe amua juu ya watanzania.

Mungu ikumbuke ardhi ya watanganyika, ardhi uliyowapa wazee wetu na watoto wetu. Mungu inua vijana wenye akili na uwezo wa ajabu kulikomboa taifa hili. Yesu inua vijana jasiri wenye nguvu kubadilisha taifa hili sio watoto wao wala vizazi vyao ila vijana wakitanzania. Amen.
 
Mungu usiruhusu kikundi cha watu wachache kuamua juu ya watanzania ila wafungue watanzania macho ili waamie hatima yao na taifa lao wenyewe.

Iwe ni kwa nguvu ya mwanadam au taifa lolote lile kamwe wasifanikiwe amua juu ya watanzania.

Mungu ikumbuke ardhi ya watanganyika, ardhi uliyowapa wazee wetu na watoto wetu. Mungu inua vijana wenye akili na uwezo wa ajabu kulikomboa taifa hili. Yesu inua vijana jasiri wenye nguvu kubadilisha taifa hili sio watoto wao wala vizazi vyao ila vijana wakitanzania. Amen.
Yupo wapi Ben Saanane? Ulimshirikisha Mungu wakati mnamuua wewe na Kayafa? Umeshaomba toba kwa udhalimu wako?
 
Ee Mwenyenzi Mungu kila kwako chawezekana.
Na hiki kilio kisikilize juu yetu sisi tusio na mtetezi ktk haki.
Amina
 
Mambo yetu huwa tunamuachia Mungu tu ndio maana tunachelewa kufika, kama nchi zote palipotokea mabadiliko wangemuachia Mungu naamini mpaka leo nao wangekuwa bado wanaburuzwa na watawala.
Tungemuachia Mungu tungekuwa mbali
 
Mambo yetu huwa tunamuachia Mungu tu ndio maana tunachelewa kufika, kama nchi zote palipotokea mabadiliko wangemuachia Mungu naamini mpaka leo nao wangekuwa bado wanaburuzwa na watawala.
Ndio maana hata ajali zinapotokea hata kama zimesababishwa na uzembe wa binadamu huwa tunasema Mungu alishapanga iwe hivyo !! Kama hivyo ndivyo ilivyo kwanini mtu akimuua mtu anakamatwa ?? Si ni Mungu ndio aliamua yule mtu auawe ?? Tusiwe ni watu wa kukwepa majukumu yetu kwa kumsingizia Mungu kila kitu na kusubiri kila kitu tufanyiwe na Mungu!! Mungu ameshatupa vingi sana Including Akili !!
 
Mungu usiruhusu kikundi cha watu wachache kuamua juu ya watanzania ila wafungue watanzania macho ili waamie hatima yao na taifa lao wenyewe.

Iwe ni kwa nguvu ya mwanadam au taifa lolote lile kamwe wasifanikiwe amua juu ya watanzania.

Mungu ikumbuke ardhi ya watanganyika, ardhi uliyowapa wazee wetu na watoto wetu. Mungu inua vijana wenye akili na uwezo wa ajabu kulikomboa taifa hili. Yesu inua vijana jasiri wenye nguvu kubadilisha taifa hili sio watoto wao wala vizazi vyao ila vijana wakitanzania. Amen.
Tuoneshe mwili wa kaka yetu Ben8
 
Ameen amesikia na atatenda wakati wake ndiyo sahihi.
 
Amen.

Tusijeongozwa kama nchi flani hivi ambayo.

Iliwahi kuongozwa na rais wa kiume katika umbile la kike.
 
Mungu usiruhusu kikundi cha watu wachache kuamua juu ya watanzania ila wafungue watanzania macho ili waamie hatima yao na taifa lao wenyewe.

Iwe ni kwa nguvu ya mwanadam au taifa lolote lile kamwe wasifanikiwe amua juu ya watanzania.

Mungu ikumbuke ardhi ya watanganyika, ardhi uliyowapa wazee wetu na watoto wetu. Mungu inua vijana wenye akili na uwezo wa ajabu kulikomboa taifa hili. Yesu inua vijana jasiri wenye nguvu kubadilisha taifa hili sio watoto wao wala vizazi vyao ila vijana wakitanzania. Amen.
mungu Hana muda wakupokea maombi ya mtu wa hovyo
 
Back
Top Bottom