Bepari2020
JF-Expert Member
- Nov 7, 2020
- 2,072
- 2,453
Tanganyika iko wapi? Mbona siioni kwenye Google Maps au kwenye ramani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naijua zaidi ya unavyoijua wewe.Unajua maana ya huo msemo ulio quote hapo?
Hapana mkuu, jamaa kamchana ukweli. Mh. Lissu alilopigwa risasi mchana kweupe ukisikia akitoa hata pole tu?Two wrongs can't make it right, usituzubaishe kwa ujinga wako.
Mkuu Lord denning, usijichumie dhambi bure kwa kusema Ben Saanane kauwawa, Ben Saanane alipotea, hakuna ajuaye ni nini kilimtokea, hivyo usijichumie dhambi bure!.Yupo wapi Ben Saanane? Ulimshirikisha Mungu wakati mnamuua wewe na Kayafa? Umeshaomba toba kwa udhalimu wako?
Yana mwisho ,na Mungu wa Watanzania ni msikivu sana ,tuwe na subra.Mambo yetu huwa tunamuachia Mungu tu ndio maana tunachelewa kufika, kama nchi zote palipotokea mabadiliko wangemuachia Mungu naamini mpaka leo nao wangekuwa bado wanaburuzwa na watawala.
Wewe mbona hujapotea?Mkuu Lord denning, usijichumie dhambi bure kwa kusema Ben Saanane kauwawa, Ben Saanane alipotea, hakuna ajuaye ni nini kilimtokea, hivyo usijichumie dhambi bure!.
P
Moto wa kichawi uliotumika kuwafunga wananchi Kwa maelfu ktk Ule mlima mrefu kuliko yote Afrika umezimwa.Mungu usiruhusu kikundi cha watu wachache kuamua juu ya watanzania ila wafungue watanzania macho ili waamie hatima yao na taifa lao wenyewe.
Iwe ni kwa nguvu ya mwanadam au taifa lolote lile kamwe wasifanikiwe amua juu ya watanzania.
Mungu ikumbuke ardhi ya watanganyika, ardhi uliyowapa wazee wetu na watoto wetu. Mungu inua vijana wenye akili na uwezo wa ajabu kulikomboa taifa hili. Yesu inua vijana jasiri wenye nguvu kubadilisha taifa hili sio watoto wao wala vizazi vyao ila vijana wakitanzania. Amen.
Duh. !!Moto wa kichawi uliotumika kuwafunga wananchi Kwa maelfu ktk Ule mlima mrefu kuliko yote Afrika umezimwa.
miungu ya Tanzania inakatiliwa mbali, wafungwa wanatembea Kwa maelfu Kutoka mlima Ule Hadi pande za mwisho wa Nchi Kwa furaha kuu.
Hakuonekana tena mtoto wa mtawala kukalia tena kile kiti kikuu kinachogombaniwa.
Pesa na Mali walizozificha hatimaye wanagundua hazina thamani kutosha kubalishana na nafsi zao😠😠😠😠.
Mungu analipenda sana Taifa letu, na analiandaa kuwa Taifa pekee, kimbilio la nyakati hizi za mwisho.
Aaamen.
MkuuMoto wa kichawi uliotumika kuwafunga wananchi Kwa maelfu ktk Ule mlima mrefu kuliko yote Afrika umezimwa.
miungu ya Tanzania inakatiliwa mbali, wafungwa wanatembea Kwa maelfu Kutoka mlima Ule Hadi pande za mwisho wa Nchi Kwa furaha kuu.
Hakuonekana tena mtoto wa mtawala kukalia tena kile kiti kikuu kinachogombaniwa.
Pesa na Mali walizozificha hatimaye wanagundua hazina thamani kutosha kubalishana na nafsi zao😠😠😠😠.
Mungu analipenda sana Taifa letu, na analiandaa kuwa Taifa pekee, kimbilio la nyakati hizi za mwisho.
Aaamen.
Hizi ni dalili za watanania kukata tamaa, yaani hata katiba ya taifa letu kubadilishwa mnataka damu ya Yesu iingilie kati wakati hilo limo ndani ya uwezo wenu, jamani tuombeni mambo ya msingi kama maradhi yatokomee, mvua nkMungu usiruhusu kikundi cha watu wachache kuamua juu ya watanzania ila wafungue watanzania macho ili waamie hatima yao na taifa lao wenyewe.
Iwe ni kwa nguvu ya mwanadam au taifa lolote lile kamwe wasifanikiwe amua juu ya watanzania.
Mungu ikumbuke ardhi ya watanganyika, ardhi uliyowapa wazee wetu na watoto wetu. Mungu inua vijana wenye akili na uwezo wa ajabu kulikomboa taifa hili. Yesu inua vijana jasiri wenye nguvu kubadilisha taifa hili sio watoto wao wala vizazi vyao ila vijana wakitanzania. Amen.
Hahaaaa!!Mkuu
Juzi vijana wa kule meatu walinifikia hapa kwangu kuna la kazi walikuwa wanafanya!
Wakanambia lile jabali lilifika kule mwanuzi kule simiyu,likafanya mkutano wake halafu siku ya pili yake ule Moto unaokimbizwa ukafika kama ilivyo KAWAIDA!!
Je!!?jabali alitangulia kusafisha njia ya moto kupita au alienda kuuzima KWA kutangulia mbele kwanza kabla moto ule haujaingia!!?