Mungu wawezeshe mabeberu watimize azima yao maana tumechoka

Mungu wawezeshe mabeberu watimize azima yao maana tumechoka

CCM ni shetani ambaye watanzania wachache wanashabikia kwa kuwa wana roho mbaya kimtu kama polepole vinakonda kwaajili ya roho mbaya
 
Ni presha baada ya zitto kuonja penzi la mange ughaibuni limemnogea kasingizia ugonjwa huku membe huku kinana huku makamba kule sumaye!
NAFIKIRI ZUIO LA KWENDA MAREKANI NILA MA CCM PEKE YAO. HADI RAHA.

GOD BLESS AMERICA
 
Hadi ushauri wa wavuta bangi convict mnauchukulia kwa uzito. Kweli ccm imebaki genge la majizi
HUO UJINGA ETI MAGUFURI AONGEZEWE MIAKA YA KUWA RAIS NI UPUMBAVU NA UWENDA WAZIMU... KWANI HAKUNA WATU ZAIDI YAKE? HUO UJINGA HATUTA RUHUSU!!! 5 YEARS TERMS NI NYINGI...LABDA WA CHANGE IWE 4 YEARS PER TERM
 
Back
Top Bottom