Mungu Yuko wapi?

Mungu Yuko wapi?

Kwa dhana ya kitu ambacho ni chenye ukweli, logical proof ni njia mojawapo ya kuthibitisha uhalali wa dhana hiyo

Mimi nakutaka uthibitishe tu kwa logic.
Weka logical consistency kwenye dhana ya uwepo wa Mungu, ukifanikiwa kwenye hilo utakuwa umeproof.

Je waweza kufanya hivyo!?
Nachotaka mimi tujadili msingi wa msimamo wako wenye kufanya usiamini Mungu wala miungu, ambao umetaja kuwa ni suala la milango ya fahamu.
 
Ibrahimu umemtoa wapi wewe km sio kwenye kitabu Cha DINI? Ondoa Ibrahim ondoa Musa ondoa Isaka sijui Yakobo Ishemail wote weka kando funga biblia fanya hujawahi kuiona kabisa na hujui simulizi za biblia, sasa hapo nionyeshe MUNGU usinionyeshe kutoka kwenye biblia nionyeshe MUNGU nje ya biblia
Mababu zako wa kale waliishi hivyo mpka ww ukaziliwa Leo.
 
Nachotaka mimi tujadili msingi wa msimamo wako wenye kufanya usiamini Mungu wala miungu, ambao umetaja kuwa ni suala la milango ya fahamu.
Wewe unamadai yakwamba kuna Mungu wakati hata kuthibitisha huwezi!!

Wewe umejuaje kwa hakika kama kuna Mungu.

Unajuaje kama kitu kipo pasipo milango yako ya fahamu
 
Mi najiuliza maswali mengi. Mungu Ni Nini, anataka Nini na Yuko wapi.

Ukifuatilia historia ya binadamu tokea tukiwa wawindaji maporini miungu ilikuwepo. Wazee walikuwa wanaongoza vijana kwa kuwaambia kuwa Mungu anataka mfanye hivi, na hio miungu ilikuwepo pangoni ambapo wazee tu wanaingia, baadae vijana wakajitoa akili kwenda wakaona wazee ni waongo na hamna kitu mule. Wagiriki wakaja na miungu yao wakasema ipo ya milima ya Olympus, Leo hii watu wamepanda milima yote ugiriki hawajaona miungu hio.

Wakaja wayahudi, wakasema Mungu yupo mawinguni. Ukifuatilia hata Yesu alipaa mawinguni, Mungu alifungua madirisha ya mbinguni kuleta mafuriko, alichungulia kutoka mawinguni kwenye mnara wa babel, etc. Waislamu nao wakaja na mbingu Saba sijui. Anyways wazungu wametengeneza ndege na rocket zimeenda mawinguni, nje ya dunia, mpaka mwezini. Sasa hivi watu wa dini wanasema yupo nje ya ulimwengu.

So nikagundua trend, wanamficha, wanamweka mbali ili watu wasiweze kumfikia, why? Kwa sababu hayupo? Kwa sababu hajasema hizo sheria? Why wanamficha. Afu wanakuambia anataka uamini yupo ndo utapona usipoamini unaunguzwa. Ukiuliza nikimwona afu nikamwamini, anasema no, lazma usimwone ndo uamini. Na wanaweka kifo mwisho wa kumuani ili waweze kuendelea kutunga sheria kwa jina lake na kuweza kuendelea kutawala watu kwa sababu hamna mtu Ashawahi kurudi akasema baada ya kifo kipo hivi.

Mwanasayansi mi nauliza Mbinguni Kuna Nini. Hamna njaa hamna maumivu hamna ndoa hamna chochote zaidi ya kumuabudu Mungu. Watu kanisani na msikitini hawapendi kwenda unategemea watapenda milele ya Ibada. So wakaamua kuanzisha motoni kutishia watu kwamba wataunguzwa milele. Sasa, ukifa unaacha mwili wako hapa, wanasema una roho, roho ni Nini, hoo mawazo sijui pumzi, ukiuliza unajua kazi ya ubongo ni Nini mtu hajui, haya tufanye roho ni ka upepo kanaenda motoni ehe kanaunguaje, hakana nyama, hakana nervous system hakana ngozi, hakana pain receptors, hakana ubongo au spinal cord, maumivu unayasikiaje, na bado hatujauliza huu Moto upo wapi, walisemaga chini kisa mavolcano lakini now hawasemi Tena coz of elimu.

Tukienda kwenye sheria zenyewe sijui usivae nguo tofauti, usile shellfish, usichanganye mazao, usimwage nje, usiabudu sanamu lakini abudu kitu Cha kufikiriwa na myahudi, hivi kwa Nini mtu atengeneze nyota billion 60 na sayari trillion afu aje kujali binadamu wewe ambae ni Kama vumbi kwa huu ulimwengu unamwaga wapi. Na kwa Nini sheria hizi zinaonekana Kama sheria za kabila ya la zamani huko kwenye majangwa na haziendani na sheria za binadamu kuishi na watu vizuri. Na Wanavyosema tumuabudu siku ya Saba.

Siku zimekuja kutengenezewa baadae Sana na zimebadilika badilika Mara kwa Mara katika historia ya Mayans na Romans. Na wamechagua sun day coz ni siku ya pagans kuabudu jua. Ila yote haya tuyaache, why Mungu muweza yote anataka hela, mwisho wa siku wote mnabidi mgundue kuwa binadamu walitengeneza miungu ili kujibu maswali magumu yasiyojibika kipindi kile na ku
Mimi niliachaga dini mazima mwaka 2012 hivi kuja huku, siabudu chochote zaidi yangu, kama Mungu yupo basi ninaishi naye mimi humu ndani yangu kusikoonekana, na hivyo mimi kuwa Mungu kama sehemu ya mawazo yake.
Dini ni ushenzi kabisa unazidi kufunga watu na kuwa wajinga.
 
Mimi niliachaga dini mazima mwaka 2012 hivi kuja huku, siabudu chochote zaidi yangu, kama Mungu yupo basi ninaishi naye mimi humu ndani yangu kusikoonekana, na hivyo mimi kuwa Mungu kama sehemu ya mawazo yake.
Dini ni ushenzi kabisa unazidi kufunga watu na kuwa wajinga.
Asante Sana kwa kuelewa na waafrika ndo tunazidi kupumbazwa na kutapeliwa na Hawa wachungaji waongo
 
Illusion

Ubongo sio wa kuaminika mara zote, unaweza kukupa fake informations ambazo zinapingana na reality
Ni Kweli ankoli, ubongo Sio wa kuamini muda wote , kwani unaweza kukupatia majibu Ambayo Sio sahihi ,
Na ndio maana unatakiwa ku reason kila kitu unachoona , kinachotokea, etc,, ili kuweza kujihakikishia usahihi wa taarifa .

Ubongo ni kama chart GBT Tu, ubongo hauwezi kukupa majibu ya kitu ambacho haijawai Ku ki experience, the more informations it received the more it accurate to solve problems,

Like in probability there MORE choices you have , the more accurate your going to predict,

Na AI Kadri inavyozidi kupewa data, ndivyo inavyozidi kuwa More accurate kwenye kufanya decision making, kiasi ya kwamba itamshinda hata binadamu kwenye kufikiri, na hii IPO kwenye games za draft,
Ma games yamekuwa yakimshinda binadamu hata Kwa wale world champions hawatoboi.

AI now days wana learning thier decision, kwenye AI kuna kitu kinaitwa (machine learning),

Mfano ulimfunga game kwa staili au techniques Fulani, basi game inayofuata AI inajirekebisha makosa aliyoyafanya Kwa ku learning mchezo uliopita na Ku save(memory )Ile techniques ulio itumia kumfunga , alafu Pia ina chambua hiyo techniques na kuja na suluhisho lake ,

Ukija kucheza nae game ya pili ukitumia techniques uliomfunga mwazoni , Una shangaa anaipangua mapema Tu 🤣,

Na ndio maana nchi zinazo jielewa kama USA week hii kulikuwa na mdahalo kuhusu swala la AI ,

Wanazuia AI asifanye maamuzi yenyewe kwani itakuwa ni hatari Kwa usalama .

Turudi kwenye ubongo, ubongo unajifunza kupitia mazingira (experience) zaidi ya hapo hakuna anachojua
 
Wewe unamadai yakwamba kuna Mungu wakati hata kuthibitisha huwezi!!

Wewe umejuaje kwa hakika kama kuna Mungu.

Unajuaje kama kitu kipo pasipo milango yako ya fahamu
Ili mimi kusema kwa uhakika kuwa wewe umezaliwa na mwanamke nahitaji mlango gani wa fahamu?
 
Unakuta mtoto kazaliwa akiwa na sickle cell, ugonjwa wa moyo, cancer ya damu ama mlemavu wa viungo, wazazi wanapambana kumuuguza kwa kuhangaika huku na kule lakin wapi, Mwisho wanakata tamaa dogo anafikisha umri flani let say miaka 6 anafariki.
Inafikirisha sana.
 
Back
Top Bottom