Munishi aishiwa uvumilivu, Atoa ushauri kwa Rais.

Munishi aishiwa uvumilivu, Atoa ushauri kwa Rais.

Baraka21

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2021
Posts
1,262
Reaction score
3,184
IMG_20210921_221058_979.JPG
 
Kaongea upumbavu wa mwisho

Mbona rais anavaa suruali…. Huo ndio uislamu?

Tusifike huku please

Wengine Kwa ujambazi walioufanya walitakiwa wawe jela
Kama nani jambazi?
 
Munish nawe sasa umezidi... unataka kumpangia mtu mpaka mavazi ya kuvaa!?

Halafu hebu tuambie ni ipi tofauti ya mama wa Kiswahili muislamu na mama wa Kiswahili asiye wa kiislamu na mama wa Kiswahili wa uswahilini

Zaidi ya hapo... tuambie pia kifungu alichokosea mama katika mavazi yake mpaka iwe ameshusha hadhi ya uraisi
 
Munish nawe sasa umezidi... unataka kumpangia mtu mpaka mavazi ya kuvaa!?

Halafu hebu tuambie ni ipi tofauti ya mama wa Kiswahili muislamu na mama wa Kiswahili asiye wa muislamu na mama wa Kiswahili wa uswahilini

Zaidi ya hapo... tuambie pia kifungu alichokosea mama katika mavazi yake mpaka iwe ameshusha hadhi ya uraisi
Hayupo humu mfate fb ndio anatema nyongo zake huko
 
Back
Top Bottom