Muonekano mpya wa Azam Complex, Uwanja wa klabu ya Azam

Muonekano mpya wa Azam Complex, Uwanja wa klabu ya Azam

Hii dugout ya kisengeee kweli. Sasa kocha akikaaa hapo kwenye kiti anaona miguu ya wachezaji🤣🤣🤣🤣
Wao wangeacha vile vile tuu flat wangebkresha tuu viti basi.
Kuna siku kocha atakula mweleka hapo katika furaha za kushangilia 🤣🤣🤣🤣
 
Asante kwa taarifa

Ila designer(s) wa hawa jamaa wanakula pesa tu, Azam walipaswa wawe na uwanja mkali sana + facilities nyingine...
Kamaa kawaida yenu wabongo mnaanza kukosoa!!

Umechangia sh ngapi kwani? Ushauri wako peleka kwa timu zenu za kariakoo
 
Azam FC wameachia picha za muonekano mpya wa mabenchi ya wachezaji wa akiba, baada ya kufanyiwa maboresho.
View attachment 3186394
Azam FC wameachia picha hizo saa chache kabla ya mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya JKT Tanzania utakaopigwa Uwanjani hapo.
View attachment 3186395
Mara ya mwisho Azam FC ilipocheza Azam Complex dhidi ya Fountain Gate, mabenchi yalikuwa katika muonekano wa kawaida.
View attachment 3186396
Ujumbe ulioandikwa katika kurasa za mitandao ya kijamii za Azam FC ambao umeambatana na picha hizo unasomeka: Azam Complex Is Ready. Uwanja wetu wa Azam Complex upo tayari kwa mechi ya mwisho ya kufunga mwaka 2024, wakati tutakapoivaa JKT Tanzania leo Ijumaa saa 1.00 usiku.
View attachment 3186398
Ile timu ya fujo si itaving'oa hivyo viti vyote
 
Kamaa kawaida yenu wabongo mnaanza kukosoa!!

Umechangia sh ngapi kwani? Ushauri wako peleka kwa timu zenu za kariakoo

Kama kawaida yenu watanzania, huwa hampendi kupewa ushauri kwa sababu mnaamini kila mnalofanya mnafanya sahihi na ushauri wowote huwa mnaita kukosoa, kufanya uchochezi...
 
Dah jf inavipanga walimu wazazi na kila fani hakika ww ni hazzina umeongea kwà experience ya hali ya juu na hili kila mmoja anajiona ana hatia tunataka kumiliki jkiwanda kikubwa kuliko more na baharesq lakin shining tukiipatA tumefanyia anasa
Uko sahihi, hili nalizungumza kwa experience yangu binafsi. Anza na ulichonacho, Mungu akiona juhudi zako atakuongezea hadi wazo lako litakua zaidi ya hata ulivyokuwa umeliwaza hapo mwanzo.

Usisahau pia kuweka mawazo na mipango yako katika maandishi, hili ni muhimu sana.
 
Back
Top Bottom