kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Muachiwe mchimbie matunguri kama ni rahisi kujenga uwanja si mkajenge wenu muufanye kilinge na matuta!Wacheze wenyewe!
Tulienda kuwapa thamani wakatutifanyia figisu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muachiwe mchimbie matunguri kama ni rahisi kujenga uwanja si mkajenge wenu muufanye kilinge na matuta!Wacheze wenyewe!
Tulienda kuwapa thamani wakatutifanyia figisu!
Bong'oa.Kifanyio chenyewe yule mwarabu aliyekufumua marinda alisha kivunjilia mbali wewe ni wa kuingiliwa tu hadi unakwenda kaburini, mpuuzi mmoja wewe.
Kila ukilala ukiamka unawaza kubong'oa tu wamekuharibu sana wake waarabu.Bong'oa.
Bong'oa.Kila ukilala ukiamka unawaza kubong'oa tu wamekuharibu sana wake waarabu.
Ukibong'oa wewe inatosha.Bong'oa.
Bong'oa.Ukibong'oa wewe inatosha.
Ukitaka kufanikiwa usijilinganishe na wengine.AC millan ,Inter Millan hawana uwanja
Ni moja ya sababu imechangia kupoteza ushindani wa kifedha na timu za Hispania na Uingereza.AC millan ,Inter Millan hawana uwanja
Kamaa kawaida yenu wabongo mnaanza kukosoa!!Asante kwa taarifa
Ila designer(s) wa hawa jamaa wanakula pesa tu, Azam walipaswa wawe na uwanja mkali sana + facilities nyingine...
Wameiga San Siro bila shakaHii dugout ya kisengeee kweli. Sasa kocha akikaaa hapo kwenye kiti anaona miguu ya wachezaji🤣🤣🤣🤣
Wao wangeacha vile vile tuu flat wangebkresha tuu viti basi.
Kuna siku kocha atakula mweleka hapo katika furaha za kushangilia 🤣🤣🤣🤣
Ile timu ya fujo si itaving'oa hivyo viti vyoteAzam FC wameachia picha za muonekano mpya wa mabenchi ya wachezaji wa akiba, baada ya kufanyiwa maboresho.
View attachment 3186394
Azam FC wameachia picha hizo saa chache kabla ya mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya JKT Tanzania utakaopigwa Uwanjani hapo.
View attachment 3186395
Mara ya mwisho Azam FC ilipocheza Azam Complex dhidi ya Fountain Gate, mabenchi yalikuwa katika muonekano wa kawaida.
View attachment 3186396
Ujumbe ulioandikwa katika kurasa za mitandao ya kijamii za Azam FC ambao umeambatana na picha hizo unasomeka: Azam Complex Is Ready. Uwanja wetu wa Azam Complex upo tayari kwa mechi ya mwisho ya kufunga mwaka 2024, wakati tutakapoivaa JKT Tanzania leo Ijumaa saa 1.00 usiku.
View attachment 3186398
Kamaa kawaida yenu wabongo mnaanza kukosoa!!
Umechangia sh ngapi kwani? Ushauri wako peleka kwa timu zenu za kariakoo
Uko sahihi, hili nalizungumza kwa experience yangu binafsi. Anza na ulichonacho, Mungu akiona juhudi zako atakuongezea hadi wazo lako litakua zaidi ya hata ulivyokuwa umeliwaza hapo mwanzo.Dah jf inavipanga walimu wazazi na kila fani hakika ww ni hazzina umeongea kwà experience ya hali ya juu na hili kila mmoja anajiona ana hatia tunataka kumiliki jkiwanda kikubwa kuliko more na baharesq lakin shining tukiipatA tumefanyia anasa
Kuonyesha mabomba ya sindano na ulonzi ndio thamani ,Wacheze wenyewe!
Tulienda kuwapa thamani wakatutifanyia figisu!