Muonekano mpya wa Chidi Benz baada ya kutumia unga

Jamaa alisha saidiwa sana sema bdo anarudia kutumia haya madude aisee!
tatizo la chid ni mbishi,mbabe alikua hataki kusikia ana ambiwa aache kutumia poda.yani uki point finger kwake kua anatumia unga anakupa kisago....laiti angesikiliza ya walimwengu asingefikia hapo.
 
sasa mdau umeandika title historia fupi ya chid Benz kufungua ndani naona ni series ya mabaya yake tu, ndio historia hiyo?
 
Tuwe na roho ya kibinadamu jamani sasa mtu kaomba msaada asaidiwe na hali yake ndio hivyo kama mnavyomuona kwann mnaanza kumdhihaki?,sio vizur wakuu...huyu jamaa mbali na ngada pia depression inamsumbua ...nilishawahi kupitia hiyo hali kipind nimemaliza chuo alafu nipo tu mtaani napigika Dah! Niliisha vibaya kila mtu niliyekuwa nakutana nae ananiuliza unaumwa nn? ..Kama una msaada wowote msaidieni jamani kuliko mnAvyomfanyia ..leo yupo kesho hayupo.
 
Acheni kukatisha watu tamaa,sio lazima umsaidie wewe,kama Mungu anakusamehe pale unapojuta na kukiri makosa wewe ni nani?
 
Mange Kimambi on Instagram: “Chi chi chi chi Chidi Benz... I respect huyu msanii sana. Ni Mtu wa kujitolea, about 4 years ago nilikuwa na event ya Watoto yatima pale…”


Shida ya serikali hata watanzania waadilifu wakifichua wauza unga, majambazi serikali haitilii maanani mfano ni kwenye hii link hapa chini: Mange Kimambi on Instagram: “Chi chi chi chi Chidi Benz... I respect huyu msanii sana. Ni Mtu wa kujitolea, about 4 years ago nilikuwa na event ya Watoto yatima pale…” wametajwa watu maarufu wanaouza madawa ya kulevya wakiwamo viongozi wakubwa sana wa nchi.Je, inamaana TCRA, Polisi, Takukuru hakuna hata member mmoja hapa Jamiiforum??

Lets take it seriusly...kama mtanzania anathubutu kuwataza mapapa wauza unga kwanini vyombo vya sheria visichukue nafasi yake kuanza kuwachunguza/kiwachukulia hatua za kisheria????

Lets be seriusly people....
 
Chid is no more! Such an arrogant person to openly declare defeat...! something is on the way
 
Maskini imebaki miwani
Yaah yenyewe ndio haijakonda na inaweza kuwa inamzidi uzito.Kiukweli kama amefika khatua ya kupaza sauti ili asaidiwe pana haja ya wadau kufanya hivyo haya mambo mengine ya ku sema kwanini alitumia?hayawezi kumsaidia yeye na jamii ya watu kama yeye.Ndugu zangu kuna mataifa mengi yenye nguvu na vifaa bora lakini vita hii inawaelemea mpaka wakaamua kutengeneza rehabilitations centre baada ya kuona vita ngumu.Hatu entertain biashara hiyo kwa kusema wasaidiwe ila uraibu ukikupata hakuna namna ni vita ngumu ila kwanza inaanzia ndani ya nafsi yako than wadau watamalizia.
 
Daaa umetoa historia nzur sana na ya kweli.

Nadhani itoshe kujifunza kuwa hujafa hujaumbika.
Inauzunisha na Pia Inakasirisha!
 
Atapewa msaada
Lakini hayo yaliyo mfanya hivyo haya achi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…