Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,125
- 7,373
Utadhani aliensI cant believe kwa ninachokiona...Unga/poda hatari aseee...Jamaa ameisha mbaya...asiseme stress aseme tu madawa yamemuathiri...mmh yan nkimuona siwezi kuamin alikuwa mwili jumba sasa hivi kawa mwembamba balaa
sio kila mahali uingize siasa we lofahaya sasa FISIEM mkumbukeni msanii wenu maana mwanzo nilimkubal saaana ila kipind cha kampeni alitoa nyimbo ambayo alimtukana sana LOWASA tena matus ya nguoni na akatutus na UKAWA KIUKWELI NILICHUKIA SANA TOKA SIKU HYO HAD LEO SIMFAGILII TENA NAFKIR KIAS FULAN ILE LAANA ALIYOJIPALIA YA KUMTUKANA KIONGOZ WANGU NAYO IMECHANGIA
Chid kwanini unavuta unga?Kwanini usingeishia kwenye Indian Hemp yetu tu ilikua poa haijakuharibu bana
..Na nyie mnaotajirika kwa kuua watoto wa wenzenu kwanini msiende kuuzia nchi nyingine?
Daah we jamaaUtadhani aliens
jana nilimuona cloud nilisikitika sana mno kabisaHii picha ya mwisho unaweza kutoa machozi wakati hajafa
hata tid hoiiiWanaoweza Unga ni TID na Lord Ezzy tu...Maskini Chidy hakuna cha mikono mfululu tena
sasa si uanze wewe kushauri?! by the way hakuna aliyejua hupo katika hali mbaya hivi.... kama c kumuona clouds tv jan a mmmmhMwisho wa siku tumekaa kibarazani tunapiga umbea sijaona hata mmoja kaja na ushauri wa maana kuhusu huyu kijana...na hao walomuibua huko alikokuwa ni ushambenga tu na kumchoresha binaadamu mwenzao mwenye kuhitaji msaada
we ni binadamDuh mimi si mpenzi wa bongo music hata kidogo lakini nimeumia sana kuona hiyo picha kwani mwaka Jana Chid Benz alifanya show Kakola Kahama akiwa na mwili wenye afya kabisa!! Sasa masikitiko yangu ni watu hapa jamii forum wanavyomtukuna maskini wa mungu anayeomba msaada hata wa kimawazo tu kwa Watanzania na wasamaria wema. Duh Watanzania roho mbaya hadi wengine wamegusia kuwa alikuwa anamtukana Lowassa!!! Mimi mwenyewe nilikuwa team lowassa na hadi leo namkubali mzee lkn chuki za kwenye siasa siwezi kuzileta kwa mtu anayehitaji msaada. Duh Tanzania nchi niliyoaminishwa ina watu kwenye mioyo mizuri lkn kwa sasa hawana tofauti na Mazombi ya Shein Zanzibar. Chid Benzi nakuombea kwa mungu kuanzia leo katika kipindi hiki cha Kwaresma taweka sala maalumu kwa ajili yako. Nakupenda kama kaka na kama mwana mpotevu ambaye umekumbuka makosa yako na kurudi kuomba msamaha kwa Watanzania wakusaidie ila bahati mbaya wengi washakuwa kama kundi la ISIS kwa mioyo ya kishetani. Mungu aliyekuumba hatakuacha uteseke na hakuna lisilowezekana ukimtumaini mungu atakuponya.
Clous tv watamsaidia hapa wameweka picha ili vijana wengine wajifunze aisee.. Ngada siyo nzuri kabisa aiseeMwisho wa siku tumekaa kibarazani tunapiga umbea sijaona hata mmoja kaja na ushauri wa maana kuhusu huyu kijana...na hao walomuibua huko alikokuwa ni ushambenga tu na kumchoresha binaadamu mwenzao mwenye kuhitaji msaada