Muonekano mpya wa Chidi Benz baada ya kutumia unga

Muonekano mpya wa Chidi Benz baada ya kutumia unga

Madawa haya ni hatar kwa nguvukaz ya taifa...lkn mamlaka husika wanakamata vidagaa wanayaacha manyangumi ya biashara hii.
 
Chidi benz ulishinda battle nyingi saana kuanzia battle ya kutoka kuwa underground mpaka superstar wa hip hop bongo ulieweka kwapani tuzo kadhaa.

Ukuishia hapo tu, jukwaani na mtaani uliingia kwenye battle za ngumi kavu kavu bado kote ulishinda.

Nazijua beto kibao ambazo umefight na kushinda...C'moon Chid hii ishu ya madawa ni mchumba tu kwako kama wachumba wengine uliowakalisha kibabe...najua wewe ni dume jeuri. Ukiamua kweli kufight naye huyu madawa utamnyoosha mapema saana. Amua sasa dume.
yeye anasema amelogwa.
 
Vijana wa Kitanzania lazima tujifunze, lakini pamoja na yote hivi hawakumouna Banza Stone alivyokuwa? Nilifikiri pale kwa Banza Stone tuliona kitu fulani cha kujifunza, yaonekana bado tumekuwa wagumu wa kuamini sembe sio nzuri.
tatizo wangaangallia movie wanadhani yale ni ya kweli,,,,,, kiukweli wamekuwa wagumu kuelewa aisee
 
Inno alikuwa mtu ambaye usingeweza kutegemea
kwamba leo angekuja
kuchanganyikiwa akili
au angekuja kutumia madawa ya
kulevya ni basi tu, nadhani ni
kutokusikiliza la mkuu.
 
Siishiwi mifano ya fasihi kweli
siishiwi maneno
siishiwi masomo ya tahadhari
tuwe na msimamo
hatua kwa mtazamo usije
ukalikanyaga shimo ukabaki humo humo ukashindwa
kutoka kama Inno.
Ali'ignore wazazi walipomsihi
ajipange
leo ana ugonjwa wa uchizi na kila
siku mirembe wala sio shauri ya bange poda
ndo iliyomchanganya
aliyochanganya wazazi wote
mtaani kutupa lawama
sababu walijua si ndo tulikuwa
kaka zake kwahiyo kama tulijua kwa nini
habari tusiwape. Yupi anamuuzia kete, yupi
anamfanya avute
wazazi walitaka wajue wabaya
wakakamate washafanya kila kitu na bado
kijana mteja
kwenye familia yake ye ndo
kaka ye ndo mkubwa.
Baba kaishiwa shauku, mama
anamuomba Mungu akijiuliza kila siku kafanywa nini
mwanangu
anadata akienda milembe akirudi
amepona
damu yake ikikosa unga akili
yake inakuwa nzima tatizo hana stahimili baada ya
miezi miwili utashangaa
yupo maskani na mateja anapata
mbili.
Mpaka leo ameshindwa kuepuka
suala la madawa anaendelea kupinda akili yake
inazidi pagawa......
 
Unga sio siri anaupenda anakiri
kuucha sio sawa.
Bora awe mjinga na akili ye na
unga kama kawa.

Alikuwa mtoto wa kishua maisha
akayachezea
jinsi alivyokuja kuwa hakuna
aliyetegemea.
Cheki maisha anayoishi sasa
anavyosikitisha...Chekimaisha anayoishi sasa
anavyosikitisha.
 
Dah! Siku za Dar es salaam stand up haziwezi kurudi tena, huwa kuna nafasi moja Tu huwa inatokea, Chid yule anafanya show moja ya Kilimanjaro award then T.I Kama msanii mkubwa toka Marekani anaalikwa kwenye utoaji tuzo ule, wakati unafanya show ya nguvu kwa ngoma zako kali Naitwa nani! Babe ft Ray C, T.I ananukuliwa akiwauliza wenyeji wake alokaa nao.... "Huyu Ni nani?"...anaambiwa huyo Ni mwana Hip Hop anayekimbiza bongo, Na baadaye unashinda tuzo, T.I mwenyewe anakupatia tuzo, Na uhakika uliambiwa jinsi T.I alivyouliza kuhusu wewe, Leo kina Diamond wakipata nafasi Kama hizo wanazitumia hapo hapo, Ni vipi ungefanya ngoma Na T.I wakati ule, bila shaka ungekua mbali, all in all madawa yamekupoteza, sidhani Kama utapata msaada kwenye muziki wako tena, Sana Sana makosa yako wacha yatumike Kama funzo kwa vijana wengine, Na wenyewe wasipojifunza kwako! Wacha yawakute Tu, hatuna namna....sorry Chid Benz, fulsa huwa Ni Mara moja Tu!


Alikuwa ni Chingy kipindi kile ndugu sio T.I kama ulivyosema.
Ila umenikumbusha mbali sana wakati mshkaji anapanda kumpa chidy tuzo yake huku linapigwa dar stand up, muhuni akawa analicheza goma kwa madoido yote yani.
Mungu atampa nafuu chuma.

"Nlikuwepo":bolt:
 
Mambo ya kuiga ndio matatizo yake, wasanii wengi tu wanabwia Unga na bado hawajajifunza kitu, mtalosti acheni hiyo kitu.
 
"Mungu nipende usije nichukia... Maaaana Mi ni mzembe mengi napuuziaa... "Pole sana chid...
 
Hvi sembe inanenepesha au kupunguza? Ray c kawa bonge hatari chidi kawa bajaji
 
Back
Top Bottom