kedrick
JF-Expert Member
- Apr 25, 2015
- 5,080
- 4,914
Leo Messi, "La Pulga" Baba Thiago, Mchawi mweupe wa soka ameonyesha mashabiki muonekano mpya kuelekea msimu mpya ambapo ameweka blonde nywele zake hali hii imezua mjadala kwa mashabiki wke wengi wakichukuzwa na jambo ilo uku wengine wakimuthumu kwamba kaanza kamchezo kabaya cha kupumuliwa na wengine wakisema anazeeka vibaya