Muonekano Mpya wa TAZARA Flyover

Muonekano Mpya wa TAZARA Flyover

Mleta mada umewahi kutoka nje ya Tanzania? Kwanza ile sidhani kama ni flyover wala huwezi kuiita ni interchange. Kiuhalisia lile ni daraja. Lakini tunavyopiga kelele utadhani tumefanya maajabu katika Dunia.

Vitu vidogo kama hivyo vinatakiwa kujengwa bila ya kelele wala matangazo maana ni vya kawaida mno.

Kama huwezi kwenda mbali, nenda hata hapo Nairobi, ukaone zilizopo na zinazojengwa bila kelele.
Nje ya Tz hakuongozwi na Magufuli, tunaongelea nchi ya Tz ewe usie mzalendo.
 
Kama sikosei mradi huu ulianzishwa na kipindi cha awamu ya nne.........wamu ya tano wamemalizia mradi wenyewe....pongezi ziende kwao wote.
Hahahahah mnaopinga harakati za jpm mtapata SHIDA SANA.Yani unaanza hadi kuangaika nani wa kumpa pongezi hahahahaha.Mradi azindue jpm,pesa zitoke kwenye awamu yake bado huoni nani wakupongezwa?
 
Hahahahaha mi nilijua hizi tabu ziko Tanzania tu,kumbe hata huko wanakoangaika na technologies kuna shida.sasa wanapinga nini haya yanayofanyika tz?
Hahah!! Nahisi kakimbia hata kunijibu.
 
Hahahahah mnaopinga harakati za jpm mtapata SHIDA SANA.Yani unaanza hadi kuangaika nani wa kumpa pongezi hahahahaha.Mradi azindue jpm,pesa zitoke kwenye awamu yake bado huoni nani wakupongezwa?
Mbona kama ujanielewa.....nimesema ....kama sikosei ......mbwembwe zote za nini sasa....kama watu wote wangekuwa wanapenda sifa kama wewe si itakuwa shida...
 
Tanzania bado hatuna flyover, lile la pale Tazara ni Daraja tu. Kuliita daraja "flyover" ni mbwembwe tu za kishamba kishamba.

Kila saa utasikia Tazara flyover, Tazara flyover,..... as if Dar es Salaam ni sehemu pekee ya Tanzania. Nchi hii inahitaji vitu vingi sana muhimu kwa ajili ya Watanzania wote kuliko hilo daraja la Tazara.
 
Nawaeleza nyinyi mnaodhani hii miundombinu ndio itawafanya mtawale milele.
Jibu nilichokuuliza kutokana na maelezo yako usikwepe swali.

Hata CDM leo watawale awatoweza kumaliza changamoto au kuridhisha kila takwa(mahitaji) ya kila mtanzania.
 
Lack of international standards.Nashukuru mungu kwa kuniwezesha kutembea duniani japo kidogo nkatoa tongotongo.
 
TAZARA FLY OVER katika Muonekano Mpya ikiwa katika hatua za Mwisho kukamilika. ... Huyu Ndiye MAGUFULI anayechukiwa na kikosi cha Wapiga dili, Vibaka na Misheni town, wakwepa Kodi n.k ...

Huyu Ndiye Rais Magufuli aliyepoteza umaarufu kwenye Makaratasi ya Watafiti na Wanasiasa uchwara .... Na hii ndiyo Tanzania Mpya tunayoitaka.

Watapata tabu sana.
Najivunia

View attachment 813205
wasikukatishe tamaa , kwa level ya nchi yetu hiyo flyover tosha ndugu : Ya ubungo itakuwa double flyover. JPM oyeee
 
Jibu nilichokuuliza kutokana na maelezo yako usikwepe swali.

Hata CDM leo watawale awatoweza kumaliza changamoto au kuridhisha kila takwa(mahitaji) ya kila mtanzania.
Usilinganishe Ulaya na sisi mataifa ombaomba ambao hata milo mitatu kwa siku ni shida.
 
Usilinganishe Ulaya na sisi mataifa ombaomba ambao hata milo mitatu kwa siku ni shida.
Binafsi sikulinganisha ulaya na Tanzania ila wewe ndio umelinganisha fly over zao na ukosefu wa ajira.

Ndio maana nilikuuliza kumbe unajua hata Ulaya kuna changamoto, Kwani Tanzania ni nani isiwe na changamoto?
 
TAZARA FLY OVER katika Muonekano Mpya ikiwa katika hatua za Mwisho kukamilika. ... Huyu Ndiye MAGUFULI anayechukiwa na kikosi cha Wapiga dili, Vibaka na Misheni town, wakwepa Kodi n.k ...

Huyu Ndiye Rais Magufuli aliyepoteza umaarufu kwenye Makaratasi ya Watafiti na Wanasiasa uchwara .... Na hii ndiyo Tanzania Mpya tunayoitaka.

Watapata tabu sana.
Najivunia

View attachment 813205
mbona haueleweki chief!
huyo ndio MAGUFULI au hiyo ndio TAZARA FLY OVER!
 
Flyover siyo daraja. Kwa kiswahili, flyover ni barabara ya juu. Halafu kuna overpass, bridges na interchange. Ile ya TAZARA kama hutaki kuliita daraja, basi ni afadhali uite overpass kuliko kusema ni flyover.
 
Back
Top Bottom