Daraja linapita juu ya maji, eg mto nk.View attachment 813233
Hiyo ya kwetu unaiita Flyover, na hii utaiitaje Mkuu..? Pale Tazara lile ni daraja Mkuu..
Waliandamana kwasababu waliochoka udikteta wake na kufanya nchi mali yake.
Nje ya Tz hakuongozwi na Magufuli, tunaongelea nchi ya Tz ewe usie mzalendo.Mleta mada umewahi kutoka nje ya Tanzania? Kwanza ile sidhani kama ni flyover wala huwezi kuiita ni interchange. Kiuhalisia lile ni daraja. Lakini tunavyopiga kelele utadhani tumefanya maajabu katika Dunia.
Vitu vidogo kama hivyo vinatakiwa kujengwa bila ya kelele wala matangazo maana ni vya kawaida mno.
Kama huwezi kwenda mbali, nenda hata hapo Nairobi, ukaone zilizopo na zinazojengwa bila kelele.
Hahahahaha mi nilijua hizi tabu ziko Tanzania tu,kumbe hata huko wanakoangaika na technologies kuna shida.sasa wanapinga nini haya yanayofanyika tz?Mkuu kumbe unajua hata Ulaya kuna changamoto, kwani Tanzania nani isiwe na changamoto?
Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Hahahahah mnaopinga harakati za jpm mtapata SHIDA SANA.Yani unaanza hadi kuangaika nani wa kumpa pongezi hahahahaha.Mradi azindue jpm,pesa zitoke kwenye awamu yake bado huoni nani wakupongezwa?Kama sikosei mradi huu ulianzishwa na kipindi cha awamu ya nne.........wamu ya tano wamemalizia mradi wenyewe....pongezi ziende kwao wote.
Hahah!! Nahisi kakimbia hata kunijibu.Hahahahaha mi nilijua hizi tabu ziko Tanzania tu,kumbe hata huko wanakoangaika na technologies kuna shida.sasa wanapinga nini haya yanayofanyika tz?
Zote ni flyover tuu....kwani nini maana ya neno flyover????..............lakini pia hata mbuyu ulianza kama mchicha...hivyo tusidharau ni juhudi zetuView attachment 813233
Hiyo ya kwetu unaiita Flyover, na hii utaiitaje Mkuu..? Pale Tazara lile ni daraja Mkuu..
Nawaeleza nyinyi mnaodhani hii miundombinu ndio itawafanya mtawale milele.Mkuu kumbe unajua hata Ulaya kuna changamoto, kwani Tanzania nani isiwe na changamoto?
Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
View attachment 813233
Hiyo ya kwetu unaiita Flyover, na hii utaiitaje Mkuu..? Pale Tazara lile ni daraja Mkuu..
Mbona kama ujanielewa.....nimesema ....kama sikosei ......mbwembwe zote za nini sasa....kama watu wote wangekuwa wanapenda sifa kama wewe si itakuwa shida...Hahahahah mnaopinga harakati za jpm mtapata SHIDA SANA.Yani unaanza hadi kuangaika nani wa kumpa pongezi hahahahaha.Mradi azindue jpm,pesa zitoke kwenye awamu yake bado huoni nani wakupongezwa?
Jibu nilichokuuliza kutokana na maelezo yako usikwepe swali.Nawaeleza nyinyi mnaodhani hii miundombinu ndio itawafanya mtawale milele.
wasikukatishe tamaa , kwa level ya nchi yetu hiyo flyover tosha ndugu : Ya ubungo itakuwa double flyover. JPM oyeeeTAZARA FLY OVER katika Muonekano Mpya ikiwa katika hatua za Mwisho kukamilika. ... Huyu Ndiye MAGUFULI anayechukiwa na kikosi cha Wapiga dili, Vibaka na Misheni town, wakwepa Kodi n.k ...
Huyu Ndiye Rais Magufuli aliyepoteza umaarufu kwenye Makaratasi ya Watafiti na Wanasiasa uchwara .... Na hii ndiyo Tanzania Mpya tunayoitaka.
Watapata tabu sana.
Najivunia
View attachment 813205
Usilinganishe Ulaya na sisi mataifa ombaomba ambao hata milo mitatu kwa siku ni shida.Jibu nilichokuuliza kutokana na maelezo yako usikwepe swali.
Hata CDM leo watawale awatoweza kumaliza changamoto au kuridhisha kila takwa(mahitaji) ya kila mtanzania.
Binafsi sikulinganisha ulaya na Tanzania ila wewe ndio umelinganisha fly over zao na ukosefu wa ajira.Usilinganishe Ulaya na sisi mataifa ombaomba ambao hata milo mitatu kwa siku ni shida.
mbona haueleweki chief!TAZARA FLY OVER katika Muonekano Mpya ikiwa katika hatua za Mwisho kukamilika. ... Huyu Ndiye MAGUFULI anayechukiwa na kikosi cha Wapiga dili, Vibaka na Misheni town, wakwepa Kodi n.k ...
Huyu Ndiye Rais Magufuli aliyepoteza umaarufu kwenye Makaratasi ya Watafiti na Wanasiasa uchwara .... Na hii ndiyo Tanzania Mpya tunayoitaka.
Watapata tabu sana.
Najivunia
View attachment 813205