Lilikuwepo?Mleta mada umewahi kutoka nje ya Tanzania? Kwanza ile sidhani kama ni flyover wala huwezi kuiita ni interchange. Kiuhalisia lile ni daraja. Lakini tunavyopiga kelele utadhani tumefanya maajabu katika Dunia.
Vitu vidogo kama hivyo vinatakiwa kujengwa bila ya kelele wala matangazo maana ni vya kawaida mno.
Kama huwezi kwenda mbali, nenda hata hapo Nairobi, ukaone zilizopo na zinazojengwa bila kelele.
Ukiliita daraja unalipa hadhi kubwa, lile ni tuta.View attachment 813233
Hiyo ya kwetu unaiita Flyover, na hii utaiitaje Mkuu..? Pale Tazara lile ni daraja Mkuu..
wivu kitu kibaya sana!Ukiangalia definition ya flyover, utashindwa kuelewa wanaopinga ile ya tazara sio flyover wanatumia definition ipi.Au ndio mwendelezo wa kupinga kila kitu?
Zitajengwa tu...kama hizo na mtapinga...na kuanza kutuonesha kina mama na ndoo za majiView attachment 813233
Hiyo ya kwetu unaiita Flyover, na hii utaiitaje Mkuu..? Pale Tazara lile ni daraja Mkuu..
Hawa jamaa wanaona sifa kuwa vichwa maji. Ndio maana hata makao makuu yao bado yapo yapo tu. Hayaeleweki kama ni banda la kufugia kuku au ofisi za chama.Ukiangalia definition ya flyover, utashindwa kuelewa wanaopinga ile ya tazara sio flyover wanatumia definition ipi.Au ndio mwendelezo wa kupinga kila kitu?
WATAPATA TABU SANA.wivu kitu kibaya sana!
Hahahahah[emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] haiwezekani mtu ashindwe hata kugoogle kujiridhisha maana ya flyover. Anaandaa desa refu limejaa pumba tupu.Eti lile ni daraja sio flyover.Hawa jamaa wanaona sifa kuwa vichwa maji. Ndio maana hata makao makuu yao bado yapo yapo tu. Hayaeleweki kama ni banda la kufugia kuku au ofisi.
Wakulima wanamwaga mazao kisa bei ndogo ila wewe huna uhakika wa milo mitatu, daahMaendeleo ni kuwa na uhakika wa kula milo yote mitatu na kwa menu nzuri, watu kupatiwa elimu nzuri, huduma nzuri ya afya, maji nk. Flyover ya Tazara, sio kipaumbele.
Aisee yaani wanachosha ile mbaya.Hahahahah[emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] haiwezekani mtu ashindwe hata kugoogle kujiridhisha maana ya flyover. Anaandaa desa refu limejaa pumba tupu.Eti lile ni daraja sio flyover.
Miaka zaidi ya 25 wanakodisha jengo la baba mkwe wa chamaHawa jamaa wanaona sifa kuwa vichwa maji. Ndio maana hata makao makuu yao bado yapo yapo tu. Hayaeleweki kama ni banda la kufugia kuku au ofisi za chama.
Kinachokera hawa jamaa ni kujifanya wajuaji wa kila kitu.Kakitu kadogo tu mtu anajifanya kutolea mamifano kibao afu pumba tupu.Aisee yaani wanachosha ile mbaya.
Kumbe hujui hata unachopigania,wewe mfia chama ila any way mbeleni mtakuja kutawala.Changamoto za Ulaya hazitokani na maamuzi ya kukurupuka, kutofutwa bajeti, mtu mmoja kuwa na maamuzi ya kila kitu, vipaumbe vibovu, kupuuza sekta muhimu za kiuchumi na kibiashara katika nchi, n.k
Haya maswali sio mazuri mkuuKumbe hujui hata unachopigania,wewe mfia chama ila any way mbeleni mtakuja kutawala.
Je ule uamuzi wa kumkaribisha Lowassa na kumuacha Dr Slaa sio wa kukurupuka?
Kumbe nabishani na roboti!!Kumbe hujui hata unachopigania,wewe mfia chama ila any way mbeleni mtakuja kutawala.
Je ule uamuzi wa kumkaribisha Lowassa na kumuacha Dr Slaa sio wa kukurupuka?
TAZARA FLY OVER katika Muonekano Mpya ikiwa katika hatua za Mwisho kukamilika. ... Huyu Ndiye MAGUFULI anayechukiwa na kikosi cha Wapiga dili, Vibaka na Misheni town, wakwepa Kodi n.k ...
Huyu Ndiye Rais Magufuli aliyepoteza umaarufu kwenye Makaratasi ya Watafiti na Wanasiasa uchwara .... Na hii ndiyo Tanzania Mpya tunayoitaka.
Watapata tabu sana.
Najivunia
View attachment 813205
Halafu ukiwakumbusha wanakuwa wakali hao, duh.Miaka zaidi ya 25 wanakodisha jengo la baba mkwe wa chama
Halafu wanajiona wametembeaa hapa duniani kumbe ni malimbukeni tu.Kinachokera hawa jamaa ni kujifanya wajuaji wa kila kitu.Kakitu kadogo tu mtu anajifanya kutolea mamifano kibao afu pumba tupu.
Kwani maana ya "to fly over" ni nini mkuu.Maana yake ni "kupita juu ya." Kwa hiyo hata daraja ni flyover kwa kuwa linapita juu ya maji na nfact hata flyover ni daraja .
Ile ya Ubongo inayotoka kwenye kituo cha DART kwenda kwenye kituo cha mabasi Ubungo ni flyover pia!Kwa maana hiyo uliyotuletea ni
flyover yes,lakini ya TAZARA pia ni flyover kwa kuwa inapita juu ya barabara!Tofauti kati ya zile flyovers ulizotuletea kwenye picha na ya TAZARA ni kwamba uliyotuletea represents many flyovers or passovers.Acheni ushamba jamani.
Usisahau pia kwamba flyovers zinajengwa out of need.Sisi bado hatuna idadi ya magari kubwa kiasi cha kuhitaji
ma-flyover uliyotuletea mkuu.
Lakini,si afadhali Magufuli hata hiyo flyover moja tumeiona,na bado zitajengwa zingine,mbona hatukuwahi kuona huko nyuma hata flyover moja,si walikuwa wanafuja tu hela za Watanzania,tuonyeshe appreciation jamani.
Nimeshangaa sana,swala la kueleza tu nini maana ya flyover, tayar mtu kaanza kuleta ujuaji wa kutembea sana ooh Nairobi mara cjui wapi.Ni kweli ujuaji ukizidi mwisho unakua limbukeniHalafu wanajiona wametembeaa hapa duniani kumbe ni malimbukeni tu.