Muonekano Mpya wa TAZARA Flyover

Muonekano Mpya wa TAZARA Flyover

Mleta mada umewahi kutoka nje ya Tanzania? Kwanza ile sidhani kama ni flyover wala huwezi kuiita ni interchange. Kiuhalisia lile ni daraja. Lakini tunavyopiga kelele utadhani tumefanya maajabu katika Dunia.

Vitu vidogo kama hivyo vinatakiwa kujengwa bila ya kelele wala matangazo maana ni vya kawaida mno.

Kama huwezi kwenda mbali, nenda hata hapo Nairobi, ukaone zilizopo na zinazojengwa bila kelele.
Lilikuwepo?
 
Ukiangalia definition ya flyover, utashindwa kuelewa wanaopinga ile ya tazara sio flyover wanatumia definition ipi.Au ndio mwendelezo wa kupinga kila kitu?
Hawa jamaa wanaona sifa kuwa vichwa maji. Ndio maana hata makao makuu yao bado yapo yapo tu. Hayaeleweki kama ni banda la kufugia kuku au ofisi za chama.
 
Hawa jamaa wanaona sifa kuwa vichwa maji. Ndio maana hata makao makuu yao bado yapo yapo tu. Hayaeleweki kama ni banda la kufugia kuku au ofisi.
Hahahahah[emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] haiwezekani mtu ashindwe hata kugoogle kujiridhisha maana ya flyover. Anaandaa desa refu limejaa pumba tupu.Eti lile ni daraja sio flyover.
 
Maendeleo ni kuwa na uhakika wa kula milo yote mitatu na kwa menu nzuri, watu kupatiwa elimu nzuri, huduma nzuri ya afya, maji nk. Flyover ya Tazara, sio kipaumbele.
Wakulima wanamwaga mazao kisa bei ndogo ila wewe huna uhakika wa milo mitatu, daah
 
Hahahahah[emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] haiwezekani mtu ashindwe hata kugoogle kujiridhisha maana ya flyover. Anaandaa desa refu limejaa pumba tupu.Eti lile ni daraja sio flyover.
Aisee yaani wanachosha ile mbaya.
 
Changamoto za Ulaya hazitokani na maamuzi ya kukurupuka, kutofutwa bajeti, mtu mmoja kuwa na maamuzi ya kila kitu, vipaumbe vibovu, kupuuza sekta muhimu za kiuchumi na kibiashara katika nchi, n.k
Kumbe hujui hata unachopigania,wewe mfia chama ila any way mbeleni mtakuja kutawala.

Je ule uamuzi wa kumkaribisha Lowassa na kumuacha Dr Slaa sio wa kukurupuka?
 
Kumbe hujui hata unachopigania,wewe mfia chama ila any way mbeleni mtakuja kutawala.

Je ule uamuzi wa kumkaribisha Lowassa na kumuacha Dr Slaa sio wa kukurupuka?
Haya maswali sio mazuri mkuu
 
TAZARA FLY OVER katika Muonekano Mpya ikiwa katika hatua za Mwisho kukamilika. ... Huyu Ndiye MAGUFULI anayechukiwa na kikosi cha Wapiga dili, Vibaka na Misheni town, wakwepa Kodi n.k ...

Huyu Ndiye Rais Magufuli aliyepoteza umaarufu kwenye Makaratasi ya Watafiti na Wanasiasa uchwara .... Na hii ndiyo Tanzania Mpya tunayoitaka.

Watapata tabu sana.
Najivunia

View attachment 813205

Mkuu hako flyover unakokaona hapo, wazungu wa Africa kusini walijenga nyingi na maendeleo kemkem lakini bado waliondolewa madarakani. Kama flyover zingekuwa zinawagusa watu kwa hivyo tusingeona huu ukatili na ukiukwaji mkubwa wa sheria za uchaguzi ili ccm ishinde.
 
Kwani maana ya "to fly over" ni nini mkuu.Maana yake ni "kupita juu ya." Kwa hiyo hata daraja ni flyover kwa kuwa linapita juu ya maji na nfact hata flyover ni daraja .
Ile ya Ubongo inayotoka kwenye kituo cha DART kwenda kwenye kituo cha mabasi Ubungo ni flyover pia!Kwa maana hiyo uliyotuletea ni
flyover yes,lakini ya TAZARA pia ni flyover kwa kuwa inapita juu ya barabara!Tofauti kati ya zile flyovers ulizotuletea kwenye picha na ya TAZARA ni kwamba uliyotuletea represents many flyovers or passovers.Acheni ushamba jamani.

Usisahau pia kwamba flyovers zinajengwa out of need.Sisi bado hatuna idadi ya magari kubwa kiasi cha kuhitaji
ma-flyover uliyotuletea mkuu.

Lakini,si afadhali Magufuli hata hiyo flyover moja tumeiona,na bado zitajengwa zingine,mbona hatukuwahi kuona huko nyuma hata flyover moja,si walikuwa wanafuja tu hela za Watanzania,tuonyeshe appreciation jamani.

Hakuna mtu ana muda wa kuonyesha appreciation kwa dhalimu.
 
Back
Top Bottom