Muonekano mzuri wa Stendi mpya ya Mbezi umeharibiwa na Siasa zetu za kutafuta sifa kwa Wanyonge waliobatizwa Masikini

Umenikubusha mbali tulipokuwa tunachanganyika skuli kuna kabila lilikuwa linapanda juu ya vyoo vya kukaa tulikuwa tunapata tabu sana mpaka walipo elewa matumizi ya vyoo hivyo hivyo kwenye hili tutaelewana baada ya hasara
 
Hata ofisi za serikali waruhusiwe pia mpaka pembeni ya Ikulu
Ofsi sio sehemu inafanyika biashara

Stend ni sehemu ya watu kufanya biashara, ni haki ya kila mtu kufanya biashara, stend ni ya Watanzania wote maskini na tajiri, kama unaona huo ni uchafuzi na unakuboa, Jenga stend yako ama boresha nyumbani kwako pakuvutie ili uvinjali zaidi
 
Tupia tupichapicha! Tujadili kwa hoja na uhalisia
 
Jna nimerudi toka safari mule ndani ya stendi
Ilikuwa vurugu tupu kitendo cha kuwqruhusu wamachinga,wauza mayai ya kuchemsha,mama ntilie sijui kama stendi ile itadumuu
Cha ajabu mule ndani wapiga debe kama kawa wapo

Ova
 
Nasikia Mzee karuhusu watu wapange mbogambonga ile nyia ya kwenda feri toka lango kuu la IKULU hadi kwenye pantoni.... sababu pale ferry wamebanana sana - cha msingi tu wawe na vitambulisho.
 
Tuacheni wanyonge tutumie fursa hii kutoa huduma kwa wasafiri. Na bado kwenye reli iendayo kasi mtatuona pia[emoji23][emoji23]
Stand ya ma bas ya mkoani sio sawa na airport, msilinganishe hivyo
Hiyo mindset mlivyokuwa nayo ndy inawaletea
Kasumbaa .....hiyo stendi muda si mrefu itakuwa kama ya zamani ubungo pale
Kama umeamua kufanya vitu ki standrad kila kitu endesha hivyo

Ova
 
Wanyongeeeeee....hili jina linanikera sana
Inakua kama yan nakuita wew hapo “Mnyonge wa hii nchi”.... “Umeteseka sana” 😬😬😬 Nataman kujua maana halisi ya hao wanyonge. Kwa nini wasiitwe tu Watanzania. Kuna ulazima gani wa kuwaita wanyonge/maskini? Miaka 10 someone calling you Mnyonge dah na hakuna hata dalili ya wewe kutoka huko unyongeni
 
Morogoro hawaruhusiwi au morogoro sio Tanzania. Na pale huwezi kuibiwa. Anaekaa sehemu ya wageni ndani ni mtu mwenye tiketi ina maana zile 200 za kuingilia stand machinga wataonyesha vitambulisho au vipi
 
Morogoro hawaruhusiwi au morogoro sio Tanzania. Na pale huwezi kuibiwa. Anaekaa sehemu ya wageni ndani ni mtu mwenye tiketi ina maana zile 200 za kuingilia stand machinga wataonyesha vitambulisho au vipi
Wanaouza mikate na maepo pale Msamvu ni kina nani?
Au pale Singida wenye zile frem ni akina nani?
Au wewe mfanyabiashara mdogo ni nani?
 
Hiyo mindset mlivyokuwa nayo ndy inawaletea
Kasumbaa .....hiyo stendi muda si mrefu itakuwa kama ya zamani ubungo pale
Kama umeamua kufanya vitu ki standrad kila kitu endesha hivyo

Ova
Lazima kutakua na usimamizi
Hakuna uhuru bila taratibu
 
Hawauzi ndani ya stendi Mg. Na kuingia ndani kuna geti kibao unalipa. Acha uongo.
Pale utauziwa mikate ndani.....nenda tu mfano kwenye coater za Turiani.....utaleetewa mpaka chips take away. Labda kama wewe huwa unapita kwa ndega.
 
Si ni brainwash Tu ili kuhalalaisha maamuzi mabovu na ukurupukaji anaofanya
 
Si ni brainwash Tu ili kuhalalaisha maamuzi mabovu na ukurupukaji anaofanya
Mim binafsi sipend kutumia maneno kama masikini, mnyonge, tajiri, ninapomjali mtu yyte. Sasa kumruhusu mtu kufanya kazi ndan ya stand ndo iwe kigezo cha kumuita mnyonge au masikini? Hiyo ni sawa kumsimanga na kumu-under estimate uliemsaidia, it’s like dhihaka.

Kama ndo hivo bas hata hawa wazungu wanaotuletea misaada wakianza kusema hao ni Maraisi wa wanyonge sijui itakuaj
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…