bulicheka 4
JF-Expert Member
- Mar 22, 2020
- 915
- 1,019
Ulitakaje? Wasiingie!Totally i agree with youView attachment 1715224
Sent from my ACCESS55 Pro using JamiiForums mobile app
Ofsi sio sehemu inafanyika biasharaHata ofisi za serikali waruhusiwe pia mpaka pembeni ya Ikulu
Tupia tupichapicha! Tujadili kwa hoja na uhalisiaKama muonekano ule mzuri kuanzia Jengo zima na mandhari ya pale leo hii umeanza Kuharibiwa kwa Wanasiasa wetu Wanafiki wanaocheza na Uelewa mbovu wa baadhi ya Watanzania uliochanganyika na Ushamba wao kwa Kuwaruhusu hadi Wamachinga, Mama Lishe na Vibaka wajazane mule ndani Stendi hadi kuleta Kero naomba waruhusiwe pia kwenda pale JNIA Terminal III haraka sana.
Kama kweli Wanasiasa wetu nchini Tanzania wanawapenda kweli kweli Watu (Wananchi) wao hasa Masikini ( Walalahoi ) basi wasiishie tu kutafuta Sifa za Kiumaarufu kwa Kuwaruhusu waingie ndani kabisa ya Stendi mpya ya Mbezi Kufanya Biashara zao bali wawaruhusu pia kuingia JNIA Terminal III, KIA na kama kweli tunawapenda basi waruhusiwe kuingia hadi Ikulu Magogoni na Chamwino.
Inakera!
Hiyo mindset mlivyokuwa nayo ndy inawaleteaTuacheni wanyonge tutumie fursa hii kutoa huduma kwa wasafiri. Na bado kwenye reli iendayo kasi mtatuona pia[emoji23][emoji23]
Stand ya ma bas ya mkoani sio sawa na airport, msilinganishe hivyo
Inakua kama yan nakuita wew hapo “Mnyonge wa hii nchi”.... “Umeteseka sana” 😬😬😬 Nataman kujua maana halisi ya hao wanyonge. Kwa nini wasiitwe tu Watanzania. Kuna ulazima gani wa kuwaita wanyonge/maskini? Miaka 10 someone calling you Mnyonge dah na hakuna hata dalili ya wewe kutoka huko unyongeniWanyongeeeeee....hili jina linanikera sana
Mkuu kama unafanya biashara sidhan kama maswal haya ungeyauliza!Hakuna kitu kama hicho na wananchi wamehama?
Hivi unapoteza muda kwa watu wenye comment kama hizo. Umempa kiki sana, sKwa hiyo wakienda uwanja wa ndege watageuka kuwa mbuzi? tuache ushamba tujadili hoja, jamaa katoa hoja tuna takiwa tumjibu kwa hoja na siyo matusi ya kijinga
Morogoro hawaruhusiwi au morogoro sio Tanzania. Na pale huwezi kuibiwa. Anaekaa sehemu ya wageni ndani ni mtu mwenye tiketi ina maana zile 200 za kuingilia stand machinga wataonyesha vitambulisho au vipiPunguza stress ndugu yangu!!
Punguza chuki zako dhidi ya serikali na wananchi wanaoipenda au kuifurahia serikali yao.
Punguza hasira na wamachinga,mamalishe na wengine wanaopambana kupata tonge.
Pita nchi nzima,machinga na mama ntilie biashara zao wanafanya stendi ama pembezoni mwa barabara....ama mahali popote penye shughuli zinazofanya watu kupatikana kwa wingi...mfano viwandani na maeneo yanapopatika wanachuo au hata ndani ya fensi za baadhi ya shule za msingi na sekondari.
Ni upumbavu kutaka watu waruhusiwe kufanya shughuli hizo kwenye viwanja vya ndege au ikulu. Na pia,natiliashaka uelewa wako wa mambo. Jaribu kuwa na akili ya ziada kwenye kupambanua mambo.
ACHA HASIRA NA CHUKI.
Wanaouza mikate na maepo pale Msamvu ni kina nani?Morogoro hawaruhusiwi au morogoro sio Tanzania. Na pale huwezi kuibiwa. Anaekaa sehemu ya wageni ndani ni mtu mwenye tiketi ina maana zile 200 za kuingilia stand machinga wataonyesha vitambulisho au vipi
Hawauzi ndani ya stendi Mg. Na kuingia ndani kuna geti kibao unalipa. Acha uongo.Wanaouza mikate na maepo pale Msamvu ni kina nani?
Au pale Singida wenye zile frem ni akina nani?
Au wewe mfanyabiashara mdogo ni nani?
Lazima kutakua na usimamiziHiyo mindset mlivyokuwa nayo ndy inawaletea
Kasumbaa .....hiyo stendi muda si mrefu itakuwa kama ya zamani ubungo pale
Kama umeamua kufanya vitu ki standrad kila kitu endesha hivyo
Ova
Pale utauziwa mikate ndani.....nenda tu mfano kwenye coater za Turiani.....utaleetewa mpaka chips take away. Labda kama wewe huwa unapita kwa ndega.Hawauzi ndani ya stendi Mg. Na kuingia ndani kuna geti kibao unalipa. Acha uongo.
Si ni brainwash Tu ili kuhalalaisha maamuzi mabovu na ukurupukaji anaofanyaInakua kama yan nakuita wew hapo “Mnyonge wa hii nchi”.... “Umeteseka sana” 😬😬😬 Nataman kujua maana halisi ya hao wanyonge. Kwa nini wasiitwe tu Watanzania. Kuna ulazima gani wa kuwaita wanyonge/maskini? Miaka 10 someone calling you Mnyonge dah na hakuna hata dalili ya wewe kutoka huko unyongeni
Mi mwenyewe naomba sana hicho kituHii stend sisi wa Mtambaswala bila picha mnafanya tunavuta sana taswira za kufikirika. Tusaidieni picha basi
Umefanikiwa kufika pale ukauona utaratibu?Lazima kutakua na usimamizi
Hakuna uhuru bila taratibu
Mim binafsi sipend kutumia maneno kama masikini, mnyonge, tajiri, ninapomjali mtu yyte. Sasa kumruhusu mtu kufanya kazi ndan ya stand ndo iwe kigezo cha kumuita mnyonge au masikini? Hiyo ni sawa kumsimanga na kumu-under estimate uliemsaidia, it’s like dhihaka.Si ni brainwash Tu ili kuhalalaisha maamuzi mabovu na ukurupukaji anaofanya