Janja weed
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 3,000
- 5,606
Wangendaliwa utaratibu mzuri tu sio kuwabeza na wao ni watanzania kama watanzania wengine, Mh.Rais alikua sahihi kabisa maana sio kila mmoja mwenye uwezo wa kula ama kununua vitu kwenye supermarkrts Malls na Hoteli kubwa kubwa kadhalika na wamachinga wanahitaji pia kuuza ndizi, mahindi, karanga bidhaa za mkononi e.t.c