Muonekano wa kihenga wa Tevin Campbell

Muonekano wa kihenga wa Tevin Campbell

emoji85.png
emoji85.png
emoji85.png
emoji85.png
😛😛😛😛
 
Tevin campbell dah mnanikumbusha mbali aisee halafu babyface aliwasaidia wasanii wengi mfano alimsaidia dogo mwingine anaitwa jon b na wimbo mmoja uitwao someone to love...vp huu wimbo mnaujua?
 
Tevin campbell dah mnanikumbusha mbali aisee halafu babyface aliwasaidia wasanii wengi mfano alimsaidia dogo mwingine anaitwa jon b na wimbo mmoja uitwao someone to love...vp huu wimbo mnaujua?
unauliza kuhusu jon b mbele ya wahenga kama sisi kaka?.
binafsi nazikumbuka sana kazi jon b ikiwemo hiyo ya "someone to love".bonge moja ya ngoma katika mahadhi ya RnB(rhythm and blues) chini ya fundi babyface akisimama kama producer.
hii hapa[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
 
kwa watoto waliozaliwa miaka ya hivi karibuni sio rahisi kumfahamu,labda wam-google.

huyu ni moja ya mwana-RnB aliyetamba sana katikati na mwishoni mwa miaka ya "tisaini"(nimeitamka kihenga) akiwa katika umri mdogo.

moja ya ngoma iliyompatia umaarufu ni
"can we talk" aliyoiachia mwaka 1993 ikiandikwa na fundi kenneth brian edmonds "babyface".unaweza kum-google babyface kama humfahamu vizuri.
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]

na huu ndio muonekano wa sasa wa muhenga tevin campbell.
d2090ffb1608acd70ded3ca546f4c4fd.jpg
4c78ee54da65e38f2ce4b06fa73992d8.jpg
39c863cc733c7c96db16423fe9ab4513.jpg
6c6b18c94dd922b01d0a7f46bc198865.jpg
37194a2610dd202bd3d2ec2adc01a8f4.jpg

NB:
miaka ile kwa sisi watoto tuliokulia "don tauni", ili upendwe na masista duu, ilikuwa angalau ujue kuimba vimistari viwili vitatu vya rnb za kina tevin, babyface, all4one, blackstreet, boyz2men and the like.

Namkubali huyu mhenga sana...sana..
 
Back
Top Bottom