Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sweet like yours, hahahaaa! You know......That's sweet..thank you!
[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]Sweet like yours, hahahaaa! You know......
unauliza kuhusu jon b mbele ya wahenga kama sisi kaka?.Tevin campbell dah mnanikumbusha mbali aisee halafu babyface aliwasaidia wasanii wengi mfano alimsaidia dogo mwingine anaitwa jon b na wimbo mmoja uitwao someone to love...vp huu wimbo mnaujua?
peleka jina kwa makonda fasta
kwa watoto waliozaliwa miaka ya hivi karibuni sio rahisi kumfahamu,labda wam-google.
huyu ni moja ya mwana-RnB aliyetamba sana katikati na mwishoni mwa miaka ya "tisaini"(nimeitamka kihenga) akiwa katika umri mdogo.
moja ya ngoma iliyompatia umaarufu ni
"can we talk" aliyoiachia mwaka 1993 ikiandikwa na fundi kenneth brian edmonds "babyface".unaweza kum-google babyface kama humfahamu vizuri.
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
na huu ndio muonekano wa sasa wa muhenga tevin campbell.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
NB:
miaka ile kwa sisi watoto tuliokulia "don tauni", ili upendwe na masista duu, ilikuwa angalau ujue kuimba vimistari viwili vitatu vya rnb za kina tevin, babyface, all4one, blackstreet, boyz2men and the like.