ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #21
Ulioneshwa na nani hii picha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulioneshwa na nani hii picha?
Wananchi wa Dar kwani Mkoa wa kula,vyuma vipya piruuu vya Mwendokasi mda wowote citashushwa tayari kuanza kutumika.👇👇
View: https://www.instagram.com/reel/DAFqg0-tiPl/?igsh=MW51YmdnMWx3ZW1qag==
My Take
Rais Samia Huwa anawajibu Wapinga Maendeleo Kwa Kazi Zinazoonekana.
Wananchi wa Dar kwani Mkoa wa kula,vyuma vipya piruuu vya Mwendokasi mda wowote citashushwa tayari kuanza kutumika.👇👇
View: https://www.instagram.com/reel/DAFqg0-tiPl/?igsh=MW51YmdnMWx3ZW1qag==
My Take
Rais Samia Huwa anawajibu Wapinga Maendeleo Kwa Kazi Zinazoonekana.
Wanashisha Mabasi ya kutoshaTatizo moja mwendo kasi. Watu wanabana sana. Kama huna pumzi unaweza ukapoteza maisha ktk basi
Wananchi wa Dar kwani Mkoa wa kula,vyuma vipya piruuu vya Mwendokasi mda wowote citashushwa tayari kuanza kutumika.👇👇
View: https://www.instagram.com/reel/DAFqg0-tiPl/?igsh=MW51YmdnMWx3ZW1qag==
My Take
Rais Samia Huwa anawajibu Wapinga Maendeleo Kwa Kazi Zinazoonekana.
Umevimbiwa mayai ya Boni ndio maana unaandika shombo,ulikuwa lini?Mradi ushauzwa hayo mabasi mnamnunulia Mwekezaji?
Wananchi wa Dar kwani Mkoa wa kula,vyuma vipya piruuu vya Mwendokasi mda wowote citashushwa tayari kuanza kutumika.👇👇
View: https://www.instagram.com/reel/DAFqg0-tiPl/?igsh=MW51YmdnMWx3ZW1qag==
My Take
Rais Samia Huwa anawajibu Wapinga Maendeleo Kwa Kazi Zinazoonekana.
Hujui kitu wewe Shut up!Umevimbiwa mayai ya Boni ndio maana unaandika shombo,ulikuwa lini?
Unajua modelity yake? Unajua njia zipi watakuwepo wawekezaji na njia ziko chini ya udart?
Wewe nyumbu unajua kitu gani?Hujui kitu wewe Shut up!
Tulia wewe Chawa!Wewe nyumbu unajua kitu gani?
Wananchi wa Dar kwani Mkoa wa kula,vyuma vipya piruuu vya Mwendokasi mda wowote citashushwa tayari kuanza kutumika.👇👇
View: https://www.instagram.com/reel/DAFqg0-tiPl/?igsh=MW51YmdnMWx3ZW1qag==
My Take
Rais Samia Huwa anawajibu Wapinga Maendeleo Kwa Kazi Zinazoonekana.
Ujumbe wenu huu hapa 👇👇So kusingekuwa na upinzani asingefanya?
Kwani hizo ela za mabasi ni za Nani?
Kuna mambo uwa mnadhani mnamjenga Rais while mna mbomoa
Uchaguzi na Mabasi ya Mwendokasi wapi na wapi?Ni lazma yaje maana uchaguzi umekaribia! Sio ajabu
Wapinga maendeleo mtaendelea kuumbuka na kuaibikaKuna upuuzi wa kijinga eti "yamebuniwa kwa ajili ya Tanzania'' haya ya sasa yanayoitwa Golden Dragon walisena hivyo hivyo. Yaangalie yalivyo korongeka sasa hayana spea ( engine, gearbox, transmission,Toka nchi mbalimbali na kuunganishwa na makanjanja wa Kichina) halafu ni mkopo wenye riba kubwa na waendeshaji wanejaa wezi.
Upumbavu mtupu 😡
Kama yataanza kazi.Tunashukuru siku yakianza kazi! 😄
Si yamenunuliwa na Kodi zao.CHADEMA watanuna na kupinga kwa wivu wao na chuki binafsi.halafu kesho unakuta wanakuwa wa kwanza kukimbilia kupanda .