Wananchi wa Dar kwani Mkoa wa kula,vyuma vipya piruuu vya Mwendokasi mda wowote citashushwa tayari kuanza kutumika.👇👇
View: https://www.instagram.com/reel/DAFqg0-tiPl/?igsh=MW51YmdnMWx3ZW1qag==
My Take
Rais Samia Huwa anawajibu Wapinga Maendeleo Kwa Kazi Zinazoonekana.
tuyaone live kwanza!maana hata vichwa vya treni katika picha vizuri sana ila uhalisia wake ni balaa!!