tuyaone live kwanza!maana hata vichwa vya treni katika picha vizuri sana ila uhalisia wake ni balaa!!Wananchi wa Dar kwani Mkoa wa kula,vyuma vipya piruuu vya Mwendokasi mda wowote citashushwa tayari kuanza kutumika.ππ
View: https://www.instagram.com/reel/DAFqg0-tiPl/?igsh=MW51YmdnMWx3ZW1qag==
My Take
Rais Samia Huwa anawajibu Wapinga Maendeleo Kwa Kazi Zinazoonekana.
Eti anawajibu!! Hii inchi imekuwa ya waswahilinaWananchi wa Dar kaeni Mkao wa kula,vyuma vipya piruuu vya Mwendokasi mda wowote citashushwa tayari kuanza kutumika.ππ
View: https://www.instagram.com/reel/DAFqg0-tiPl/?igsh=MW51YmdnMWx3ZW1qag==
My Take
Rais Samia Huwa anawajibu Wapinga Maendeleo Kwa Kazi Zinazoonekana.
Asante mkuu kwa kuweka sawaa π Kuna kipindi Fulani magufuli R.I.P alikuaga mkali akiambiwa hayo MANENO πKuna step umeiruka. Wapo kwenye mchakato na baadae wataufanyia upembuzi wa awali na matokeo yakiwa mazuri wataingia kwenye upembuzi yakinifu kabla ya kuingia kwenye procurement processes ambazo huchukua muda. Endeleeni kuwa watulivu.
Sifa huwa nyingi Mwanzoni..Wananchi wa Dar kaeni Mkao wa kula,vyuma vipya piruuu vya Mwendokasi mda wowote citashushwa tayari kuanza kutumika.ππ
My Take: Rais Samia Huwa anawajibu Wapinga Maendeleo Kwa Kazi Zinazoonekana.
======
Scania Tanzania wameandika hivi kwenye kurasa zao za mitandao ya kijamii:
Habari wadau!
Huu ndio muonekano mpya wa basi la BRT kutoka Scania na Marcopolo! Hivi karibuni litaongezwa kwenye kikosi cha DART. Safari yako ya kila siku sasa inapata sura mpya, basi hili siyo tu la kuvutia, bali ni la kisasa kabisa!
Tazama video hii uone muundo wa nje wa basi hili, linaloleta mabadiliko kwenye usafiri wa umma Dar es Salaam. Endelea kufuatilia kwa maelezo zaidi! π
View attachment 3100334
Sasa unacheka niniMtumba wa walipa kodi na vipya tena vile vya zero kilometa ni kwa wala kodi zetu jamani.
Wanaanzaga kwa mikwalaEti yaliyobuniwa maalum kwa ajili ya Tanzania.
Duuuh kumbe hii PPP ni kwel!!!!Kama hujafahamu hizi basi za PPP ya Kafulila Africa nzima hakuna,
VIVA SAMIA VIVA, VIVA KAFULILA VIVA
View attachment 3100957
View attachment 3100956
Sahihi kabisa ila SCANIA itakuwa poa sanaMatunzo ndio uchawi kwa wabongo!
Kitu ni full aircondition.Kama hujafahamu hizi basi za PPP ya Kafulila Africa nzima hakuna,
VIVA SAMIA VIVA, VIVA KAFULILA VIVA
View attachment 3100957
View attachment 3100956
Mwenye mabasi yake atayatunza,tutarajie yatafanya kazi kwa ufanisiMatunzo ndio uchawi kwa wabongo!