Muonekano wa Madonna akiwa na miaka 63

Mkuu hizo surgery wanazofanya hao mastaa na watu wengine wenye pesa wala hazihitaji mtu kunywa damu
 
Sasa huyu si mwanamke mkuu[emoji848][emoji848]

Ila hongera kwa kufikisha huo umri mkuu

Najua
Ila ametumia hela nyingi sana kuwa hivyo
Kwa mama mwenye umri huwa wa kawaida bila surgeries nikitoka nae watasema mama yangu [emoji3][emoji3]
Ila kako vizuri
Nafikiri nae ana damu ya wayahudi ingawa hapendi kuliweka wazi
 
Kama ingekuwa mtu unatakiwa ku-comment kwa neno moja tu, ilitosha kusema "Fuckable"!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…