Muonekano wa Madonna akiwa na miaka 63

Muonekano wa Madonna akiwa na miaka 63

MAKE UP???
images.jpg
images.jpg
 
Dah!
Vitu ambavyo nina hofu navyo ni uzee, ajali na kifo. Yote kwa yote, MUNGU mkubwa
 
62 kasoro miezi kadhaa
Namshukuru Mungu nimefika hapa ila kwa umri ni kama jana tu
Dunia hii
Yaani nina siku 25,500
Ipi bora hapo kutamka

dah jamani muwe mnaenda taratibu ktk baadhi ya nyuzi msijesababisha tunawatukana mkatupa laana[emoji23][emoji23][emoji23]

unashangaa mambo hayaendi kumbe kuna mtu umri wa baba yako umemtukana jf matusi mazito.
hingera mkuu.
 
dah jamani muwe mnaenda taratibu ktk baadhi ya nyuzi msijesababisha tunawatukana mkatupa laana[emoji23][emoji23][emoji23]

unashangaa mambo hayaendi kumbe kuna mtu umri wa baba yako umemtukana jf matusi mazito.
hingera mkuu.

Shukran sana kwa hilo ila huwa najiheshimu sana ila kuna watoto huwa mara moja moja wanatoa neno baya ila tunaenda nao hivyo hivyo

Kuna siku nilichangia Uzi mmoja tena kawaida tu dogo mmoja akanitukana

Nikamjibu ya kuwa aniheshimu kwani naweza nikatembea na mama yake na bado wakanisifia washikaji kuwa nimeopoa dogodogo [emoji23][emoji23]
Hakujibu tena naona alielewa
 
Back
Top Bottom