Muonekano wa Msanii Wema Sepetu

Midekoo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2015
Posts
45,757
Reaction score
246,786
Mwanadada asiyeishiwa vituko Wema Sepetu (Tz sweetheart) baada ya kuamua kupunguza umbo lake huu ni muonekano wake mpya. Baadhi ya mashabiki zake wengine walimsifia kwa uamuzi aliochukua na wengine wakiendelea kumkejeli ya Kuwa Nyumbu sasa amegeuka Twiga.

Binafsi nakupa Hongera Wema hakika umependeza na muonekano wako mpya.







 
Jamani mbona mnalinajisi jamvi la adhimu la' those who dare to talk openly' kwa kutuletea vitu ambavyo havina mantiki wala maana yoyote ile???
Hebu virudisheni huko kwenye facebook/insta na mtuachie jamvi letu likiwa kama linavyostahili kuwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…