Anafanya shughuli gani hapa mjini.Yap Jamaa ni FOGO Mpunga kama WOTE.
View attachment 978783
Hivi huyu naye mwanamke mzuri!!!!!
Hata na hela juu sikubali, mbona anatisha
Hebu soma tena ulichoandika, halafu ume quote maneno usiyojua maana yake.Jamani mbona mnalinajisi jamvi la adhimu la' those who dare to talk openly' kwa kutuletea vitu ambavyo havina mantiki wala maana yoyote ile???
Hebu virudisheni huko kwenye facebook/insta na mtuachie jamvi letu likiwa kama linavyostahili kuwa.
hayakuhusu !!Anafanya shughuli gani hapa mjini.
Hebu mwambie aandike zake za kumfanya afikiri, asitake watu waende atakavyo yeye. Kwanza kafuata nini jukwaa hili, maana hizi ndiyo mada zakeMbona zipo nyingi tu humu JF, inaonekana unapendezwa na taarifa za aina hii ndiyo maana umepata hata muda wa kuja kuona kilichopo ndani.
Hebu mwambie aandike zake za kumfanya afikiri, asitake watu waende atakavyo yeye. Kwanza kafuata nini jukwaa hili, maana hizi ndiyo mada zake
Umelipia matangazo?Mwanadada asiyeishiwa vituko Wema Sepetu (Tz sweetheart) baada ya kuamua kupunguza umbo lake huu ni muonekano wake mpya. Baadhi ya mashabiki zake wengine walimsifia kwa uamuzi aliochukua na wengine wakiendelea kumkejeli ya Kuwa Nyumbu sasa amegeuka Twiga.
Binafsi nakupa Hongera Wema hakika umependeza na muonekano wako mpya.
View attachment 978744
View attachment 978743
View attachment 978740
Wanasema ni tajiri wa madini(anauza ruby) ila siri ya utajiri anaijua yeye mwenyewe.Anafanya shughuli gani hapa mjini.
Mbona zipo nyingi tu humu JF, inaonekana unapendezwa na taarifa za aina hii ndiyo maana umepata hata muda wa kuja kuona kilichopo ndani.
Tena macho yako mazima haswaa! Unajua kujipunguza unene kwa kutumia ''nguvu za kutengeneza'' badala la nguvu za asili siku zote hakuna matokeo mazuri. Asipoangalia ataishia pabaya.hiyo milonjo sasa.!!
sijui kaiichubua?
Au kai-bleach?
ama ni ya photocopy.!
au nayo aliwekewa ya kichina!?
labda nahitaji miwani..!?
[emoji109][emoji109]Halafu ndo mana wakaweka majukwaa mbalimbali.