Myfancyface
JF-Expert Member
- Dec 23, 2016
- 948
- 900
Umweee!![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Huko usoni anazidi kufanana na Nsyuka...
Sasa nini madhumuni ya kuwa na kizaz?
Hahahha hahahhahaYupo vzr tatizo kajichubua sn hd anatia kinyaa..mwanamke akishajichubua mi ht kugusana nae huwa naona kichefuchefu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mfumo tu.. Hamna ulazima huo...Sasa nini madhumuni ya kuwa na kizaz?
Huenda hana kizaz
Yupo vzr tatizo kajichubua sn hd anatia kinyaa..mwanamke akishajichubua mi ht kugusana nae huwa naona kichefuchefu.
Sent using Jamii Forums mobile app
analifanyia kaz gani hilo takoNimemuona wiki mbili zilizopita. Hayupo kama kwenye picha. Amepungua juu lakini tako lake lipo vile vile. Naona anatumia app ya ku slim. Hayupo hivyo live kama anavyo onekana kwa picha. Hajapungua kiasi cha kutisha
sawa mpnz.
Eeh kumbe picha tu eeh.. Too sad mbona hiyo ni kujidanganya mwenyewe saaa[emoji16][emoji16][emoji16]. Ajikubali tu maanaNimemuona wiki mbili zilizopita. Hayupo kama kwenye picha. Amepungua juu lakini tako lake lipo vile vile. Naona anatumia app ya ku slim. Hayupo hivyo live kama anavyo onekana kwa picha. Hajapungua kiasi cha kutisha