Muonekano wa ndani wa JNIAIII, ni balaa. Hongereni wana East Africa

Muonekano wa ndani wa JNIAIII, ni balaa. Hongereni wana East Africa

You pick what you want and make your biased judgment off it. Typical you.
Lounge-Home.jpg


NBO-kenya-airways-pride-lounge-nbo-pr-02.jpg
lounge-18.jpg
Mbona unajibu iyo robot us sisiem terminal ya 80s ndio analingisha na Yao ya 2018,....hii ina onyesha vile akili za kijamaa ni pumbavu[emoji1787][emoji1787]
 
It's not like you are unstoppable. These are the things you should have done in the 70s through to 80s,Sijui mbona mliingia usingizini. Stop having phobias for Development
Kipindi hicho tulikua na mambo muhimu kuyafanya kabla ya kukimbilia kujenga majengo.
1) Kujenga Umoja wa kitaifa, kufuta ukabila, kuondoa tabaka za watu na kujenga amani ya kudumu.
2) Kuzikomboa nchi za Afrika, ili majirani zetu wote wawe huru na wawe na amani, kwasababu tuliamini kwamba, bila jirani yako kuwa huru na awe na amani, hakutokua na maendeleo endelevu.

Mbona ninyi ambao hamkuwa na lolote la kufanya katika kipindi hicho, hamkujenga uwanja kama huu?, matokeo yake tumetoka nyuma tumewapita.https://youtu.be/osD37hcFCWg
 
Hii ndio akili zembe za sisiem hamuezi ona beyond Kenya,mnatuota usiku mchana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]terminal mzee ya jkia ya 80s ndio unalinganisha na terminal yenu mpya ya 2019[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kila kitu SI unit ni Kenya[emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna aliyewakataza kujenga terminal mpya, mlianza kujenga Green terminal, pumzi zikawaishia njiani mkashindwa kama ilivyotokea katika SGR. Maendeleo ni kwenda na wakati, sio mnabaki na old model na unajitetea. JNIA3 hoyeee.
 
Boss, mbona muenekano wake ni wa kawaida sana?
Ukiwa ni mkazi wa Buza na mwisho wako kusafiri kwa umbali ni mwenge.. ukipayuka kwa nguvu zote hakuna Shopping Mall kubwa Africa kama Mlimani City Shopping Mall... itabidi watu wasikushangae sana maana kilele cha dunia yako ndicho hicho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mtoa mada upeo wake wa kuona kwa Sasa umekomea hapo.
 
Ukiwa ni mkazi wa Buza na mwisho wako kusafiri kwa umbali ni mwenge.. ukipayuka kwa nguvu zote hakuna Shopping Mall kubwa Africa kama Mlimani City Shopping Mall... itabidi watu wasikushangae sana maana kilele cha dunia yako ndicho hicho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mtoa mada upeo wake wa kuona kwa Sasa umekomea hapo.
Wewe wako umeishia Buza sio?
 
Kipindi hicho tulikua na mambo muhimu kuyafanya kabla ya kukimbilia kujenga majengo.
1) Kujenga Umoja wa kitaifa, kufuta ukabila, kuondoa tabaka za watu na kujenga amani ya kudumu.
2) Kuzikomboa nchi za Afrika, ili majirani zetu wote wawe huru na wawe na amani, kwasababu tuliamini kwamba, bila jirani yako kuwa huru na awe na amani, hakutokua na maendeleo endelevu.

Mbona ninyi ambao hamkuwa na lolote la kufanya katika kipindi hicho, hamkujenga uwanja kama huu?, matokeo yake tumetoka nyuma tumewapita.https://youtu.be/osD37hcFCWg

Are you a serious human being or you are a cow? When Toothpaste. toothpaste was missing in the whole of Danganyika.
 
Kuna msemo kwenye African Proverbs usemao.. 'The wise Man is the one who fills his ears before he open his mouth'
Terminal 3 ni mpya haijaanza kutumia ni kubwa kwa standard zetu na expectation za planners... Ila kwa sifa ulizotoa na ukilinganisha na vya nchi nyingine Africa... bado
Fanya research pale ambapo unalinganisha vitu.. au kama lengo ni kusifia basi sifu bila comparison maana kuna waliona zaidi yako wewe.
Wewe wako umeishia Buza sio?
 
Mimi sipendi airport terminals zikiwa na vyuma vinaonekana yanii kwa kiingereza " roof truss" hiyo inakaa ni kama warehouse.Kuanzia JKIA terminal 3 ,Bole Int'l airport Ethiopia terminal 2 na sasa JNIA Tanzania pia inakaa hivyo. Those other sections are okay.

Ahaaa haaa haaa
Hata ukienda Dubai na Dulles international airport hizo trusses zipo wazi hivyo hivyo.
 
Kuna msemo kwenye African Proverbs usemao.. 'The wise Man is the one who fills his ears before he open his mouth'
Terminal 3 ni mpya haijaanza kutumia ni kubwa kwa standard zetu na expectation za planners... Ila kwa sifa ulizotoa na ukilinganisha na vya nchi nyingine Africa... bado
Fanya research pale ambapo unalinganisha vitu.. au kama lengo ni kusifia basi sifu bila comparison maana kuna waliona zaidi yako wewe.
Nimelinganisha na nchi za EAC, kataa kama hiki sio the best katika EAC.
 
Yes, building of our Nation was important than toothpaste, those who chose toothpaste over National unity, now they are counting the cost.

Tihahahhaaaaa. Today I have seen a cow give birth to a dog
 
As I said before..... 'The Wise Man is the one who fills his ears before he opens his mouth'
Try to use ua head to think instead of being driven by your emotions.
Nimelinganisha na nchi za EAC, kataa kama hiki sio the best katika EAC.
 
Tihahahhaaaaa. Today I have seen a cow give birth to a dog
Na bado, sasa hivi ni kipindi cha kuzindua miradi baada ya kuweka mawe ya msingi, mlikua mnasema hakuna kinachokamilika, sasa umefika muda wa kuwanyamazisha.

November" The first bullet train in Africa" inazinduliwa, karibu sana. If you can't fight them, join them. Hapa kazi Tu.
 
Na bado, sasa hivi ni kipindi cha kuzindua miradi baada ya kuweka mawe ya msingi, mlikua mnasema hakuna kinachokamilika, sasa umefika muda wa kuwanyamazisha.

November" The first bullet train in Africa" inazinduliwa, karibu sana. If you can't fight them, join them. Hapa kazi Tu.

You know and you as well know that Danganyika is a non starter.... How do you begin fighting with a fool? People will mistake you for the fool instead. Bado Hamjafikia hadhi hata ya Kigali kimawazo, kiakili na kimaendeleo. Try that in the next life
 
Thanks.... it is typical habbit for fools whenever they face criticism or obstacles in their silly things to seek refuge in insults.....
So based on how you wrote your post and the way you respond to people who oppose you... it seems that thing run through your veins.
 
Thanks.... it is typical habbit for fools whenever they face criticism or obstacles in their silly things to seek refuge in insults.....
So based on how you wrote your post and the way you respond to people who oppose you... it seems that thing run through your veins.
Again, you are not only stupid, but also very fool. Which critism?. Mimi nimekuambia nimelinganisha na viwanja ndani ya EAC, na nikakuambia kataa kama huu sio uwanja bora ndani ya EAC, badala ya kujibu kama ni kweli au sio kweli, unaleta ujinga wako, kama huna hoja bora ukae kimya, usionyeshe upumbavu wako hadharani.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
It seems you didn't even understood what I wrote .... when I told you that thing run through your veins ulifikiri ni nini?.... it is that foolishness
Kwakuwa it seems it is inherited thing ngoja tu nikuache hivyoo. [emoji114][emoji114]
Again, you are not only stupid, but also very fool. Which critism?. Mimi nimekuambia nimelinganisha na viwanja ndani ya EAC, na nikakuambia kataa kama huu sio uwanja bora ndani ya EAC, badala ya kujibu kama ni kweli au sio kweli, unaleta ujinga wako, kama huna hoja bora ukae kimya, usionyeshe upumbavu wako hadharani.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
It seems you didn't even understood what I wrote .... when I told you that thing run through your veins ulifikiri ni nini?.... it is that foolishness
Kwakuwa it seems it is inherited thing ngoja tu nikuache hivyoo. [emoji114][emoji114]
Pumbavu Sana wewe
 
Back
Top Bottom