johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hao ni marais je huyo Mbowe ni nani?Magufuli kagame ni Hakimu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ni marais je huyo Mbowe ni nani?Magufuli kagame ni Hakimu?
Hahahaa...... Hutaki acha!Ndo maana tunashauri muuzwe Uarabuni tupewe mafuta. Kama hizi ndo akili za Kilumumba ya kazi gani kuwa na nyie?
Bila shaka itakua ya mikoani maana kitambo sana walisema itahama ubungoSrend gani ya mabas yamkoani au
Hebu tuonyesheni yenu live iko wapiHahaha itabaki kwenye picha hivyo hivyo. Msitarajie kuiona live.
Ole wao ukamilike alafu tusione kitu kama hicho kwenye picha
Kiazi hiko mkuu achana naye.Muoneni huyu
Kwa mara ya kwanza Faiza unapinga idea ya serikaliYanapoegesha mabasi hapapo practical. Mabasi kila saa yapige reverse.
Halafu mabanda tu nyuma huko na mbele aluminum or whatever ili kupendezesha tu gate hilo lakini siioni stand ya maana hapo.
Total impractical. Ndogo.
Hatuna wabunifu Tanzania.
Unawashwawashwa.Upinzani watapinga watasema wao wanataka wajengewe bata