Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wewe ni mojawapo ya watu muhimu kwenye connection za mastaa. Tia neno hapa usijali tako.Huyu kumbe bado yupo? toke alipopoteza TAKO mmi nilishamalizana nae. Nilishamu Unfollow zamani tu huko insta
Hapo sasa anaonekana bomba, zamani alikuwa chibonge sana.
Mkuu ,unamaanisha alishafanya gastric bypass surgery.???Ni kama social reject Fulani....angekaa mbali na media sijui Instagram ..watu wanajua ku bully huku mtandaoni balaa...hivi alifanya Gastric bypass au ni ile nyingine??
Mkuu wewe ni mojawapo ya watu muhimu kwenye connection za mastaa. Tia neno hapa usijali tako.
.....Mi zamani nilikuwa nikisikia tu jina lake tu, dushe linaanza kunisumbua [emoji23] siku hizi hamna..
au sina nguvu za kiume.[emoji1]
Anaonekana kama anataka kufa keshoukimwi unamtafuna si wembamba uo
.....Mi zamani nilikuwa nikisikia tu jina lake tu, dushe linaanza kunisumbua [emoji23] siku hizi hamna..
au sina nguvu za kiume.[emoji1]
tafuta pesa we kijana,wembamba wa Wema utakisaidia nini katika maisha yako?Msanii wa filamu na Miss Tanzania mwaka 2006 Wema Sepetu, amezua gumzo mitandaoni baada ya kupost picha kwenye ukurasa wake wa Instagram ikimuonyesha mwili wake kuonekana kuzidi kupungua, Wema Sepetu ambae aliamua kupunguza mwili wake kwa madai ya kuwa unamnyima raha hasa katika kazi zake za kisanaa.View attachment 1361737![]()
Ikumbukwe kuwa katika mahojiano aliyoyafanya kupita App yake ya Wemapp alisema, ameamua kupunguza mwili wake kwa sababu ulikua unamletea shida sana hasa kwa upande wa filamu kuna mavazi alikua hawezi kuyavaa na kuna baadhi ya Scenes zilikuwa zinampa shida kuigiza kulingana na mwili aliokuwa nao kipindi cha mwanzo
Kupitia ukurasa wake wa Instagram Wema aliamua kupost picha akiwa na wadada wengine wawili akiambatanisha na ujumbe kuwa “Alhamdulillah Rest Easy kaka” picha hii ilimuonyesha akiwa ametoka kwenye msiba wa kaka ake anaeitwa Mkusa Sepetu, ambaye alikuwa Jaji wa Mahakama kuu Zanzibar ambaye alipoteza maisha asubuhi ya Feb 16, 2020.
View attachment 1361742
Wema baada ya kupost picha hiyo mashabiki wake wakaanza kumuandama kwa maneno mengi huku wakimwambia ameathirika, wengine wakamuambia ajitahidi kula maana wakikutana nae barabarani wanaweza kumsahau kabisa kutokana na mwili wake unavyozidi kuisha. Baada ya comment za mashabiki kuzidi Wema hakukaa kimya aliamua kuwajibu na kuwaambia kuwa Ni kweli ameathirika na kama watamsahau basi yeye ndivyo anavyotaka.
Lipo Lumumba limeenda kujitokeza hadharani kuunga mkono juhudiNani kaiba tako la wema ?
Sent from my iPhone using JamiiForums
NGOMA NI LAZIMA PALE.ukimwi unamtafuna si wembamba uo
Ukimwi zama hizi za ARV MTU hakondi hivyo, akikonda kwa sababu ya HIV ni lazima angekuwa ameugua sana tu.. TB utakohoa mpk mwenyewe unyooshe mikono..May be Yuko undernourished naona yuko moderately wasted and zygomatic prominence.
1.Nawashauri ndugu zake au yeye mwenyewe.
Encourage kula kwa kiasi chakula bora chenye virutubisho vyote
2.Aende akapime au kuscreen HIV/AIDS, Syphilis,hepatitis and TB
3.Apunguze au kuacha Milo ya diets za kupunguza uzito.
Sent using Jamii Forums mobile app
AiseeHuyu kumbe bado yupo? toke alipopoteza TAKO mmi nilishamalizana nae. Nilishamu Unfollow zamani tu huko insta