Muonekano wa Wema Sepetu wazua gumzo mitandaoni, Mashabiki wamuandama na kumwambia maneno haya

Kakondeaana
Alomshauri nadhani alikuwa hampendi.lohhh
 
Hivi hii ni surgery au turudi kwenye channel ya kina Lilian, Kimobitel, Aisha Madinda na wengine. Kuna kamsururu kalinyooshwa na members fulani kakawa kanatia hatiani watu kadhaa. Mimi sifurahii matatizo ya watu, God forbid.
 
Huyu kumbe bado yupo? toke alipopoteza TAKO mmi nilishamalizana nae. Nilishamu Unfollow zamani tu huko insta
 
Huyu kumbe bado yupo? toke alipopoteza TAKO mmi nilishamalizana nae. Nilishamu Unfollow zamani tu huko insta
Mkuu wewe ni mojawapo ya watu muhimu kwenye connection za mastaa. Tia neno hapa usijali tako.
 
ukimwi unamtafuna si wembamba uo
 

Attachments

  • maxresdefault.jpg
    184.7 KB · Views: 3
May be Yuko undernourished naona yuko moderately wasted and zygomatic prominence.
1.Nawashauri ndugu zake au yeye mwenyewe.
Encourage kula kwa kiasi chakula bora chenye virutubisho vyote
2.Aende akapime au kuscreen HIV/AIDS, Syphilis,hepatitis and TB
3.Apunguze au kuacha Milo ya diets za kupunguza uzito.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama kweli Ataondoka na watu wengi sana. Akianzia kuleeee
 
tafuta pesa we kijana,wembamba wa Wema utakisaidia nini katika maisha yako?
 
Ukimwi zama hizi za ARV MTU hakondi hivyo, akikonda kwa sababu ya HIV ni lazima angekuwa ameugua sana tu.. TB utakohoa mpk mwenyewe unyooshe mikono..

Ila si alisema kakata kipande kidogo cha utumbo, hivyo bila shaka mfumo wa digestion umearibika nutrition hazifyonzwi sawasawa kuupata mwili nishati hivyo kunakuwa hana protein buildup muscles zinadegenarate kila kukicha.

I can predict kama hakutakuwa na cha kumsaidia katika hill, ndani ya miaka hii miwili historia itakuwa tofauti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…