Muonekano wa Wema Sepetu wazua gumzo mitandaoni, Mashabiki wamuandama na kumwambia maneno haya

KITAULO,
Alipokuwa na hips na tako vinaanzia kwenye goti alisemwa. Sasa anasemwa!
Tuliomuona enzi zake za uasilia wake hatushangai.
 
.....Mi zamani nilikuwa nikisikia tu jina lake tu, dushe linaanza kunisumbua 😂 siku hizi hamna..
au sina nguvu za kiume.😄
😂😂😂😂😂...CYO KAMA AKUVUTII TENA
 
Ni kama social reject Fulani....angekaa mbali na media sijui Instagram ..watu wanajua ku bully huku mtandaoni balaa...hivi alifanya Gastric bypass au ni ile nyingine??

Morning miss....hata tunajua basi...tunashangaa tu anavyopukutika kwa kas ya 5G
 
Huyo zamani alikuwa yuko vzr
Mwili ulikuwa mmbichi, ngz natural
Kashindwa kujitunza tu na hii iko kwa wanawake wengi utakuta mtoto wa kike Miaka 18 lkn urafiki Ana Miaka 70

Ova
Kutoka kwenye uchibonge...all the way to kimodel...a.ka. Chembambaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli kabisa yupo wapi Masogange....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wema alikuwa anatumia mikorogo , anatengenezewa pale magomeni Argentina , Saluni moja iko upande wa kushoto mwa barabara Kama unaenda mjini

Sent using Jamii Forums mobile app
Nlibahatika kukutana na wema 2005 wakati huo miss alikuwa kifaa hasa, km zlikuwa hazijaenda sana.......
Kingine hyu dem alipata opportunity nyingi sana Sema hakuzitumia vzr

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo ndio mtifautishe kati kuwa star kupitia talent na kuwa star kupitia mwili wake.

Sasa hivi hana kitu,sababu wengi tulikuwa tunapenda chura kwani hana kipaji cha kuigiza.

Sasa hivi ukimtizama unaweza sema kasimamia mikono.
 
Uelewa mdogo tu, alisema kwenye interview na LilOmmy kua alipungua sababu ya mafuta kujaa kwenye kizazi ikapelekea tatizo lake la kukosa mtoto, ushauri wa madaktari wa India ndio walimwambia apungue,
Hata hivyo wembamba ndio uzuri, nampenda hivi alivyo kuliko kipindi kile alichonenepa mpaka akatisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…