Muonekano wangu unanitesa mahusiano yangu hayadumu

Muonekano wangu unanitesa mahusiano yangu hayadumu

Quan Lup

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2016
Posts
683
Reaction score
946
Kwema wakuu kuna kitu kinanitesa sana ni kuhusu muonekano wangu

Mimi sio mrefu kama wanawake wanavyopenda wanaume warefu nina 168cm ila kusema ukweli nina Muonekano mzuri saana yaani mimi mwenyewe huwa nikijiangalia najionea aibu aisee

Sasa wanawake wengi wananiogopa nikiwa nao kwenye mahusiano wivu mwingi sana ugomvi kila siku huku wakinituhumu kuwa nina wanawake wengi kitu ambacho sio kweli. Sasa sijui nifanyeje wanawake nawapata ila ndo hvo sidumu nao maana kil siku kelele naona bora tuu tuachane yaani.

Please msi notice vibaya aisee nilikua naomba tuu ushauri nifanyeje
 
𝕌𝕟𝕒𝕙𝕚𝕥𝕒𝕛𝕚 𝕞𝕒𝕠𝕞𝕓𝕚, 𝕙𝕒𝕜𝕦𝕟𝕒 𝕞𝕨𝕒𝕟𝕒𝕞𝕞𝕖 𝕞𝕓𝕒𝕪𝕒 𝕒𝕦 𝕞𝕫𝕦𝕣𝕚, 𝕛𝕚𝕔𝕙𝕦𝕟𝕘𝕦𝕫𝕖 𝕦𝕟𝕒𝕤𝕙𝕚𝕕𝕒 𝕤𝕖𝕙𝕖𝕞𝕦,𝕒𝕦 𝕦𝕟𝕒𝕥𝕒𝕗𝕦𝕥𝕒 𝕤𝕠𝕜𝕠 𝕙𝕦𝕞𝕦?
 
Yani 168cm ambayo ni futi 5 na nchi 6 unajiita mrefu??

Wewe na hesabu mlikuwa na ugomvi?

Mathieu Valbuena alikuwa mfupi sana miongoni mwa wachezaji alikuwa na 167 cm muone hapo ujione.
images (85).jpeg
images (88).jpeg
 
Back
Top Bottom